Wapi zipo ofisi za Uhamiaji Dar?

Wapi zipo ofisi za Uhamiaji Dar?

Wakuu habari zenu
Naomba kuelezwa wapi zipo ofisi za uhamiaji Dar nataka nikaombe passport.
My location ni Kibamba chama
Jirani habari za leo nenda mpaka uwanja wa taifa shukia kituo cha uhasibu kama umetokea upande wa Buguruni, ukitokea upande wa mjini shukia kituo cha Jitegemee JKT Sekondari. Hapo ukiwa umetokea mjini upande huo huo kuna njia inakata kusoto kwenda kuungana na kurasini shimo la udongo mita chache mkono eako wa kushoto baada ya ofisi za Posta utaona Bara bara inayokata kushoto ukiifwata hiyo ni mita chache utaliona Jengo la uhamiaji hapo utahudumiwa vyema, au ukishuka hapo JKT muulize boda boda yeyote atakuelekeza.
Taadhari pana vishoka wengi sana pale nnje nakuomba uwe mwangalifu sana. Mungu akusimamie utimize hitaji lako.
 
Wakuu habari zenu
Naomba kuelezwa wapi zipo ofisi za uhamiaji Dar nataka nikaombe passport.
My location ni Kibamba chama
Kurasini kama unaenda kanisa la kkkt usharika wa kurasini mbele kushoto yaani kanisa liko kulia na hizo ofisi ziko mbele kushoto
 
Jirani habari za leo nenda mpaka uwanja wa taifa shukia kituo cha uhasibu kama umetokea upande wa Buguruni, ukitokea upande wa mjini shukia kituo cha Jitegemee JKT Sekondari. Hapo ukiwa umetokea mjini upande huo huo kuna njia inakata kusoto kwenda kuungana na kurasini shimo la udongo mita chache mkono eako wa kushoto baada ya ofisi za Posta utaona Bara bara inayokata kushoto ukiifwata hiyo ni mita chache utaliona Jengo la uhamiaji hapo utahudumiwa vyema, au ukishuka hapo JKT muulize boda boda yeyote atakuelekeza.
Taadhari pana vishoka wengi sana pale nnje nakuomba uwe mwangalifu sana. Mungu akusimamie utimize hitaji lako.

Thanks sana
 
Wakuu habari zenu
Naomba kuelezwa wapi zipo ofisi za uhamiaji Dar nataka nikaombe passport.
My location ni Kibamba chama
Fika hapo Police College Kurasini, ulizia utaelekezwa lilipo jengo la Immigration, ni jirani kabisa.
 
Back
Top Bottom