Wapi wanauza viti vya wachungaji?

asanteelimu2016

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2016
Posts
248
Reaction score
146
Naomba kuuliza kwa wale mafundi seremala na wenye uelewa wa karibu na mafundi seremala, ni wapi wanauza viti vya kuchunga mahususi kwa ajili ya kanisani na maalumu na wachungaji?
Naomba mwenye ufahamu anijuze kuhusu walipo mafundi hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…