Wapi wanauza kamba

Dah namimi nilikuwaga kama wewe ila as the days goes on saiv asilimia 60% ubongo wangu unawaza kufa. Ningekuwaga na Bastola labda leo hii nisingekuwepo
 
Sio poa mzee
Unatia huruma mpaka Mtu anaona akikukataa atakuwa kakuonea kishenzi
Wakija kushtuka mtaani karibu wote umesuuza
 
Kuna sehemu Japan watu ambao huwa wanataka kujinyonga huwa wanaingia kwenye huo msitu na kujinyonga kwa masaibu yao.
Pamoja na kuwa na mabango mengi kama "your life is precious gift from your parents" and also " Please consult the police before you decide to die"
Yaani ukishangaa shangaa kwenye kamba mwingine anakuambia kama hujaamua bado nipishe [emoji1787]
 

Attachments

  • Screenshot_20190511-193103_Chrome.jpg
    57.5 KB · Views: 19
Nimecheka sana.. eti kama hujaamua nipishe.. anawez rudi kesho?
 

Duh!aisee

Ila mtu anayejinyonga ana roho ngumu sana...unajitundika kabisa kwa kamba!
 
Duh!aisee

Ila mtu anayejinyonga ana roho ngumu sana...unajitundika kabisa kwa kamba!
Ni shetani kwa kweli
Binadamu usikate tamaa ila subiri siku yako ya mwisho tu utakapoondoka
Kweli binadamu ni dhaifu ila kwa hili hapana
Tunapitia mambo mengi sana lakini kama unaona mambo yanaenda sivyo unaangalia wa chini yako
Huwa napenda kwenda kuwasalimia wagonjwa now and then na hii huwa inanipa faraja katika maisha na kumshukuru Mungu
Yaani kujiua au kuua hapana kwa kweli
 
Nimecheka sana.. eti kama hujaamua nipishe.. anawez rudi kesho?
[emoji23][emoji23][emoji23] unajua kuna wakati waanajiuliza na kuanza kusali
Sasa unasali nini wakati umeamua kujiwahisha hahaha
 

Tatizo ndio kila mtu ana namna yake ya kupambana na tatizo fulani,wengine ndio kama hivyo wanafikiria kujinyonga

Mungu awatie moyo wenye akili ya kutaka kujidhuru kwa namna yoyote,shetani.ashindwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…