Wapi wanauza camping tents (mahema)

Wapi wanauza camping tents (mahema)

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,693
Reaction score
21,765
Nahitaji kujua duka gani naweza pata tents(mahema) kwa ajili ya camping trip nitafurahi nikijulishwa na bei.Natanguliza shukrani
 
Nahitaji kujua duka gani naweza pata tents(mahema) kwa ajili ya camping trip nitafurahi nikijulishwa na bei.Natanguliza shukrani
Mimi ninayo mahema mawili(bado mapya kabisa sijatumia hata siku moja) pia nina na camping beds 2 na chairs . Kama utajitaji nmba zangu ni hizi 0655441943
 
Mpigie huyu hapa atakuelekeza wanapouza
0754 30 73 14
 
nenda Mlimani City kuna duka nilinunua tent ya watu sita kwa 150,000/= miaka kama mitano iliyopita
 
Mimi ninayo mahema mawili(bado mapya kabisa sijatumia hata siku moja) pia nina na camping beds 2 na chairs . Kama utajitaji nmba zangu ni hizi 0655441943
Naomba picha za mahema na vitanda PM.
 
Nahitaji kujua duka gani naweza pata tents(mahema) kwa ajili ya camping trip nitafurahi nikijulishwa na bei.Natanguliza shukrani
Posta mtaa wa Jamuhuri opp na Wizara ya Sayansi kama sijakosea jirani na studio ya Sunrise.
 
Kama hauna haraka nayo sana na unahitaji unafuu ingia www.tentco.co.za utapata varieties zote na unaweza nunua online wakakutumia. Ila kama haujali gharama nenda GAME
 
Nenda GAME mlimani city, kuna section ya Camping/Outdoor...bei zao nafikiri si mbaya sana.
 
Wakuu nashukuru sana kwa michango nilifanikiwa kupata maeneo ya game Mlimani
 
Mimi ni fundi wa kidizaini na kushona hizo hema za aina mbalimbali kulingana na mahitaji yako 0765 815550, nipo dar kkoo gerzani karibu , pia tupo kigamboni ferry. TUTAKUHUDIA VILE UTAKAVYO .
 
Nahitaji kujua duka gani naweza pata tents(mahema) kwa ajili ya camping trip nitafurahi nikijulishwa na bei.Natanguliza shukrani
Mimi nadizain na kushona aina zote za mahema nipo kkoo gerezani mtaa wa makamba, pia tupo kigamboni ferry.
KARIBU SANA
 
jitahidi unielewee
Km ushawahi ona baadhi ya maeneo,
Sikuhizi Kuna hizi outdoor shopping, Sasa mm nataka nifanye ya nguo,viatu n.k maana nimepata eneo zuri ila siruhusiwi kujenga, ni kuuza mchana halaf jioni nafungasha,
Kuna sehem nilikua napitapita nikaona mtu anauza mahitaj ya biashara km hio..
Km tent, stand za viatu, hung za nguo, zuriaa,
Yaani kwa ufupi Kila kitu kwaa ajili ya biashara ya nguo lakini maalumu kwa kuuzia njeee...
JITAHIDI UNIELEWEE
Naomba msaaada napata wapi
 
Back
Top Bottom