Wapi Utategeka, Mitego hii bana

Mwenye na za cm za hawa masholi anitumie jamani
 
ebanae haya mambo wacha tu, ngoswe yalimponza, karatasi za sensa zikaungua moto,

 
Hapa nimetegeka Mama Mdogo nitakutafuta....
 
Last edited by a moderator:
Halo unaingia Ofisini kwako unamkuta secretari wako kakaa mkao huo mmmmm
 
Sasa mbona huyo aliyevaa kufuli jeusi amejiachia hivyo.huyu ni wa kuoa kweli.haa wapi.
 
Ni sawa na makaburi mazuri kwa nje ila kwa ndani ni mifupa,uozo etc

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Kabla hatujakwama tubadilike tusije kujutia maamuzi yatakayotupoteza. Neno la Mungu Qouran au Bible ndio silaha pekee ya kuyashinda majaribu ya Shetani.
Tukifanya hivi kila siku tutawaona hawa madada zetu na tutawaombea pia.
Sasa wewe unafuata nini huku? .... Dah, lazima utakuwa mlokole fake.
 
Yamekuwa hayo tena, huyu aunt wangu wamwita samaki, makubwa!!! Niombe radi, ila yuko Chanika, Dar es Salaam; mimi ndiye niko Katavi.

Kweli uko Katavi. Ole wenu mtakaomnyemelea binti wa Mama Mdogo.
 
Last edited by a moderator:
Sasa wewe unafuata nini huku? .... Dah, lazima utakuwa mlokole fake.

This is the right place to be, people wouldn't understand if you're trying to wash clean clothes!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…