mi ni mwanafunzi chuo kimoja hapa nchini nachukua shahada ya ualimu,maisha yangu yanchangamoto kidogo,kwanza nasoma ualimu ambao mi binafsi sipendi na sina wito kabisa ila sababu inayonifanya nisome ualimu ni umaskini sasa napata ugum ni vipi nitawasaidia watoto kipindi nikipata ajira maana shida yangu sio kufundisha ila mi ninachohitaji ni pesa ya nchi hii maana sina namna nyingine ya kila pesa hiyo shida inakuja kwa watoto je itakuaje?