zipompa JF-Expert Member Aug 19, 2014 10,255 21,904 Mar 12, 2019 #2 agiza mtandaoni ila sidhani kama bei yake utaiweza kuna siku naperuzi huku mbele si nikakuta hadi baiskeli za 30+milioni,nilishangaa sana
agiza mtandaoni ila sidhani kama bei yake utaiweza kuna siku naperuzi huku mbele si nikakuta hadi baiskeli za 30+milioni,nilishangaa sana
Vagus92 Member Nov 19, 2018 16 1 Mar 12, 2019 Thread starter #3 zipompa said: agiza mtandaoni ila sidhani kama bei yake utaiweza kuna siku naperuzi huku mbele si nikakuta hadi baiskeli za 30+milioni,nilishangaa sana Click to expand... Duh, ni vina 50cc tu ndo viuzwe bei kubwa ivyo
zipompa said: agiza mtandaoni ila sidhani kama bei yake utaiweza kuna siku naperuzi huku mbele si nikakuta hadi baiskeli za 30+milioni,nilishangaa sana Click to expand... Duh, ni vina 50cc tu ndo viuzwe bei kubwa ivyo
Don Clericuzio JF-Expert Member Dec 8, 2017 16,930 40,528 Mar 12, 2019 #4 zipompa said: agiza mtandaoni ila sidhani kama bei yake utaiweza kuna siku naperuzi huku mbele si nikakuta hadi baiskeli za 30+milioni,nilishangaa sana Click to expand... Ukute iyo nyumba kwenye avatar anaimiliki, atashindwaje!
zipompa said: agiza mtandaoni ila sidhani kama bei yake utaiweza kuna siku naperuzi huku mbele si nikakuta hadi baiskeli za 30+milioni,nilishangaa sana Click to expand... Ukute iyo nyumba kwenye avatar anaimiliki, atashindwaje!