Wapi nitapata sport bike ya hivi?

Wapi nitapata sport bike ya hivi?

Vagus92

Member
Joined
Nov 19, 2018
Posts
16
Reaction score
1
IMG_20190312_151148_525.JPG
 
agiza mtandaoni ila sidhani kama bei yake utaiweza

kuna siku naperuzi huku mbele si nikakuta hadi baiskeli za 30+milioni,nilishangaa sana
 
agiza mtandaoni ila sidhani kama bei yake utaiweza

kuna siku naperuzi huku mbele si nikakuta hadi baiskeli za 30+milioni,nilishangaa sana
Duh, ni vina 50cc tu ndo viuzwe bei kubwa ivyo
 
agiza mtandaoni ila sidhani kama bei yake utaiweza

kuna siku naperuzi huku mbele si nikakuta hadi baiskeli za 30+milioni,nilishangaa sana

Ukute iyo nyumba kwenye avatar anaimiliki, atashindwaje!
 
Back
Top Bottom