ranchoddas
Senior Member
- Mar 27, 2015
- 114
- 56
Jaman mwenye uwezo wa kujua wapi nitapata kioo cha Samsung galaxy s3 original na bei yake anisaidie
Yap tunaweza jua price ya hicho kioo plus na ufundi coz nna moja kama hio tatizo lake kwa mafundi wa posta wananiambia 230k hapo bado sijaenda kwa sele fundi mkuu mwenyewe , sasa hio 230k sibora ninunue anather gud smart 4ne
Msaada wa k/koo anaeweza nifanyia bei nzuri..
Mkuu hata mm kuna sehem nliambiwa 250000-280000 nkaona isiwe shida nkaiweka ndan ila kuna mshkaji wang yupo india kanambia wanauza 50000 ya tz ila hawataki kumpa warrant na simu ninayo bongo so nimehofia kumuagizia ikawa mkenge ila huku bongo aisee bei ziko juu bora ukanunue android mpya kwa hela iyo
Agizq ebay au amazon mbona ziko cheap tuu...
Mkuu ni kioo sio touch pekee.kwa hapa himo kilimanjaro tunaweka kwa Tsh 50000 tu. Nairobi bei ni ndogo sana.
noma sana mi yangu S3 min ilizingua kwenye simcard wamekula hela lakini tatizo liko palepale ukiweka simcard inaenda off.! nimeamua kuiweka ndani tu sina jinsi.
Mmoja amuuzie mwenzake hapo, yeye simcard kwake nzima na wewe unataka kioo na zote zipo ndani