Hii site software zake zote zina malware we mdanganye.juzi jamaa yangu alidownload cinema 4d vzr ikarun kesho yake alivowasha pc program files zote zimeliwa. Malware ili corrupt registry.
Habari mkuu. Hauwezi kununua kwa mtu au kampuni yyt ukiwa Dar au Tanzania kwa ujumla. Adobe wana certified dealers ambao wanasimamia biashara zao. Na siku hizi biashara zao ni za kulipia kwa mwezi au monthly. Cha kufanya ni kutafuta nearby dealers ambapo in our case utawapata Kenya. Binafsi nimeshawahi kununua illustrator kupitia dealer yuko Nairobi. Bei ni around 1m kwa subscription ya mwaka
Hii site software zake zote zina malware we mdanganye.juzi jamaa yangu alidownload cinema 4d vzr ikarun kesho yake alivowasha pc program files zote zimeliwa. Malware ili corrupt registry.
Mkuu mimi vitu vyote kwenye PC yangu nimedownload kupitia hii site kuanzia Photo editing, video editing, games na hata microsoft word zote nimetoa huko.....so ninaexperience nako