wadau nimehamia kwenye kamjengo kangu lakini bado sijapata umeme Naomba kwa anayejua wapi naweza kupata Generator ambalo halina kelele sana ili niweze kupata japo umeme kwa taa tv na friji. Mi nipo Mwanza.
wadau nimehamia kwenye kamjengo kangu lakini bado sijapata umeme Naomba kwa anayejua wapi naweza kupata Generator ambalo halina kelele sana ili niweze kupata japo umeme kwa taa tv na friji. Mi nipo Mwanza.