Kuna jamaa aliwahi niletea pc nirekebishe coz haipeleki charger, sasa katika kukagu nikagundua adaptor ndio ina shida pale kwenye pin ikabidi kuchuna wire, kukata na kuunga na solder then kuzungushia insulation tape ile kumrudishia mteja weeh jamaa kawaka haikuwa hivi na ukimuelewesha haelewi.
So mtoa mada kama nawe nijamii ya watu wa hivyo hiyo pc baki nayo tu