Wapi naweza kuyapata majarida ya zamani ya Bongo na Sani

Wapi naweza kuyapata majarida ya zamani ya Bongo na Sani

Quinton Canosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2012
Posts
1,224
Reaction score
1,258
Habari wanajamii forums
Nilikuwa ninaomba msaada wa kuelekezwa wapi naweza yapata majarifa ya Bongo na Sani yale ya zamani maana nimeyatafuta pasipo mafanikio
Kwa mwenye connection wap naweza kuyapata hayo majarida wakuu
 
Habari wanajamii forums
Nilikuwa ninaomba msaada wa kuelekezwa wapi naweza yapata majarifa ya Bongo na Sani yale ya zamani maana nimeyatafuta pasipo mafanikio
Kwa mwenye connection wap naweza kuyapata hayo majarida wakuu
Hatari sana!!!
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-05-29 at 21.23.38.jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-29 at 21.23.38.jpeg
    125.3 KB · Views: 26
  • WhatsApp Image 2024-05-29 at 21.23.55.jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-29 at 21.23.55.jpeg
    66.6 KB · Views: 25
  • WhatsApp Image 2024-05-29 at 21.22.43.jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-29 at 21.22.43.jpeg
    283.8 KB · Views: 24
Habari wanajamii forums
Nilikuwa ninaomba msaada wa kuelekezwa wapi naweza yapata majarifa ya Bongo na Sani yale ya zamani maana nimeyatafuta pasipo mafanikio
Kwa mwenye connection wap naweza kuyapata hayo majarida wakuu
Kitambo
Kina comred kipepe
Bush stars
Lodlofa
Sokomoko
Mchafuz wa lugha (mzee kifimbo cheza)
Zena na betina

Kulikua na sigment ya kutuma salamu Kuna brother angu yeye alikuaga hakosekani

List Ni NDEFU sanas
 
Back
Top Bottom