nipo dar
Maisha yanabadilika kwa kasiSina habari kama kuna mashine ya kukaanga karanga mie najua wanakaangia masufuria ya kawaida tu
Sent using Jamii Forums mobile app
asante sana mkuuNenda pale ubungo, urafiki textiles. Kuna kampuni inaitwa pollymachines utapata
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba nikuulize, kwani unataka kukaanga nyingi sana au?, maana kukaanga karanga ni kitu rahisi sana kwa kutumia sufuria na jiko la kawaida, ila kama kusudio lako ni biashara kubwa basi sawa ukipata mashine ya kurahisisha kazi yako.habari zenu, naomba msaada kwa anayefahamu ni wapi naweza pata mashine kwaajili ya kukaangakaranga kwa ajili ya biashara
Mkuu hiyo machine ikojeNenda pale ubungo, urafiki textiles. Kuna kampuni inaitwa pollymachines utapata
Sent using Jamii Forums mobile app