ODILI SAMALU
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 1,369
- 489
Wakuu naomba mwenye kujua ni Chuo gani hapa Tanzania kinafundisha Urubani urgent
Duh mkuu umerukia jibu fasta vile kama tupo mwaka 1990...vyuo vipo sio kimoja namaanishaHakuna chuo cha uruban tz mzee, kwa msaada ingia south africa
Hivi kumbe inawezekana kuanza na CPL kabla ya PPL ??Namaanisha level gani.. CPL au PPL?
nenda uwanja wa ndege nyeree dsm kuna chuo kinatoa diploma ya aircrafft maintainnnce
Samahani wakuu aircraft maintenance ndio urubani ??NIT pia wanatoa Bachelor in aircraft engineering
Kuna taarifa sina uhakika nazo ya kuwa NIT mwaka huu wanaanzisha hiyo kozi tusubiri guidebook ya tcu huenda kuna ukweli ndani yakeWakuu naomba mwenye kujua ni Chuo gani hapa Tanzania kinafundisha Urubani urgent
yaishe mkuu nlikua nawaza mbali ila hawezi akaanza nayo kama diploma halaf akapige degree sauzz au ethiopiaSamahani wakuu aircraft maintenance ndio urubani ??
Inawezekana ila sio bongo unaunganisha moja kwa moja kama mtu anayesoma diploma lakini kaingia kwa level ya kidato cha nne, muda wa cpl unazidi zaidi kuliko aliyetoka kwenye ppl then akaenda cplHivi kumbe inawezekana kuanza na CPL kabla ya PPL ??
Asante MkuuInawezekana ila sio bongo unaunganisha moja kwa moja kama mtu anayesoma diploma lakini kaingia kwa level ya kidato cha nne, muda wa cpl unazidi zaidi kuliko aliyetoka kwenye ppl then akaenda cpl
Wakuu naomba mwenye kujua ni Chuo gani hapa Tanzania kinafundisha Urubani urgent