Wapi naweza kupata chanjo ya yellow fever kwa Dar?

Wapi naweza kupata chanjo ya yellow fever kwa Dar?

mymy

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
296
Reaction score
112
Habari waungwana,

Kwa mwenye kufahamu wapi naweza kupata chanjo ya Yellow fever hapa Dar?

Shukrani
 
KAMA UKO DAR

Nenda pale bandari karibu na Azam marine utapata au laa nenda pale mnazi mmoja last year nilikwenda mnazi mmoja hospital hawakuwa nayo walikuwa wakielekeza watu waende hapo karibu na Azam Marine ( sina uhakika kama ndio hivyo panaitwa) lakini ni karibu na wanakopanda hivyo meli kwa ajili ya kwenda Zbar. na charges zake ni 20,000. The good things ile now ni ya life so hutaichanja tena.


All the best na walikuwa wanaangalia kama una safari ya karibuni ndio unapata maana nadhani zilikuwa zimeadimika that time
 
KAMA UKO DAR

Nenda pale bandari karibu na Azam marine utapata au laa nenda pale mnazi mmoja last year nilikwenda mnazi mmoja hospital hawakuwa nayo walikuwa wakielekeza watu waende hapo karibu na Azam Marine ( sina uhakika kama ndio hivyo panaitwa) lakini ni karibu na wanakopanda hivyo meli kwa ajili ya kwenda Zbar. na charges zake ni 20,000. The good things ile now ni ya life so hutaichanja tena.


All the best na walikuwa wanaangalia kama una safari ya karibuni ndio unapata maana nadhani zilikuwa zimeadimika that time
Kwa wale tuliochanja miaka 5 iliyopita, kuna haja ya kuchanja hiyo ya maisha?

Nasikia na ile kadi yao imebadilika, inawezekana kubadilishiwa tu?
 
Kwa wale tuliochanja miaka 5 iliyopita, kuna haja ya kuchanja hiyo ya maisha?

Nasikia na ile kadi yao imebadilika, inawezekana kubadilishiwa tu?


Hiyo uliambiwa ni ya miaka mingapi? kama sio ya life ina maana utatakiwa kuchanga tena
 
NENDA HOSPITAL YA MNAZI MMOJA NDIO IPO KITUO CHA CHANJO PALE
 
Kama walivyosema hao jamaa nenda mnazi mmoja hospital
 
Back
Top Bottom