Wapi MWAJABU MHINA KING'OSO

Wapi MWAJABU MHINA KING'OSO

ZAMBI YANGU

Senior Member
Joined
Jul 23, 2013
Posts
163
Reaction score
44
Mtajwa hapo juu ni mzaliwa wa tanga eneo la manga wilaya ya handeni. Tulipoteana mara baada ya kumaliza kidato cha nne pale Mombo sekondari mwaka 2006. Namtafuta walau nimpe shukrani zangu hasa baada ya kuitumia nafasi yake kwa mkuu wa shule kunitetea nisifukuzwe shule nikiwa kidato cha tatu. Ni kweli nilimlilia shida baada ya kuwa niligungua adhabu ninaenda kupewa lakini nakumbuka sikuwahi kumwambia asante. Popote ulipo ulipo kwasasa nipo bangwe kigoma nakuomba tuwasiliane PM au yoyote anayejua alipo tafadhari naomba msaada kupitia mtandao huu wa Jf.
wasalaam
GM - ZAMBI YANGU
 
Weka jina lako halisi ajue pa kuanzia

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Jamani watu wa Tanga nisaidieni kumpata huyu mdada
 
I.t.v huwa wana session ya kutangaza walopotea peleka huko watakusaidia au search line ya r.f.a
 
Huyu mtu bado hajapatikana?!! Kuna uwezekano yupo Manga, mhusika fika hilo eneo kama bado hujampata!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom