Unamtakia nini? Kamtafute kwake Monduli.
Mkuu yuko safarini akiongoza kamati yake ya Ulinzi na Usalama kutembelea balozi za Tanzania katika nchi tajiri (hakuna hata moja masikini), yeye anaongoza kamati iliyokwenda Canada, New York na Washington DC, na ameambatana na mkewe Regina Mumba Lowassa (si mbunge) na walinzi wawili na wamesafiri daraja la kwanza na yeye atakaa siku 21: wenzake wengine akiwamo Chiligati, Zungu, Anna Abdalah, Mohammed Seif Khatib watakaa siku 14 katika nchi za Ulaya na Asia, ziara ambayo imezua maswali mengi kuliko majibu. Bahati mbaya ameondoka Juni 26, siku ambayo kumetokea mambo ya aibu kwa Taifa letu. More to come, je, amekwenda kumchimba Membe? Je, amekwenda kufuatilia vijinsenti (yale madola Uswisi), ama wastaafu wamekimbia bajeti na wao kwenda kupumzika? Bejeti yao ya safari imetoka wapi? Ama ndio kuwahi kumalizia mabaki ya bajeti ya mwaka unaoisha wakwangue sizirudi?
Mwisho kabisa tutakuja kuanzisha ligi ya hivi
Kati ya mwizi asiyetaka wengine waibe na Mwizi wa kawaida ni yupi bora?
Mwisho kabisa tutakuja kuanzisha ligi ya hivi
Kati ya mwizi asiyetaka wengine waibe na Mwizi wa kawaida ni yupi bora?
Aaah, kwa hiyo sisi huku Marekani tukae mkao wa kula, eeh? Hata mkewe ni mjumbe wa kamati ya bunge. Na je, ofisi zetu za ubalozi barani Afrika nani anazitembelea?
Jasusi Umesoma heading hukutaka kujua content!!
same to you too, buddy!Jasusi Umesoma heading hukutaka kujua content!
Saluti kwa wana jf wote. Wakuu ni siku nyingi sijamsikia mpambanaji EL, nini kimemkumba? Huyu bwana pamoja na makashfa yaliompata hadi kujiuzulu, alikuwa bora kuliko Pinda. Nina kila sababu ya kusema haya. Ukitaka kuamini haya, tazama hoja za Pinda mjengoni na kauli zake juu ya maswala muhimu kuhusu Taifa letu. He is very hopeless, sijui ni kigezo gani kilitumika kumpatia u-PM! Ningependa kumsikia Lowassa akisema lolote hususani kipindi hiki ambapo Taifa limekosa mwelekeo kabisa.
Ni mawazo tu wadau, karibuni kwa mjadala. Thanx.
Saluti kwa wana jf wote. Wakuu ni siku nyingi sijamsikia mpambanaji EL, nini kimemkumba? Huyu bwana pamoja na makashfa yaliompata hadi kujiuzulu, alikuwa bora kuliko Pinda. Nina kila sababu ya kusema haya. Ukitaka kuamini haya, tazama hoja za Pinda mjengoni na kauli zake juu ya maswala muhimu kuhusu Taifa letu. He is very hopeless, sijui ni kigezo gani kilitumika kumpatia u-PM! Ningependa kumsikia Lowassa akisema lolote hususani kipindi hiki ambapo Taifa limekosa mwelekeo kabisa.
Ni mawazo tu wadau, karibuni kwa mjadala. Thanx.