mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Hiyo kluger ni ya mwaka gani na imetembea kilomita ngapi?
Ni wazo zuri lifanyie kazi biashara ni kotekote mkuuNi wazo zuri mkuu wacha tulitafakari kwa muda, tukiona linahitajika zaidi tutafanya hivyo, kwa sasa nitaunganisha namba yangu na WhatsApp ili mnifikie kwa urahisi
Nakutafuta muda sio mrefuZipo mkuu ni wewe tu na chaguo lako, kwamfano huu hii gx110View attachment 630989ipo Spacio hii 6.5MView attachment 630990 Lakini pia Verossa hii View attachment 630991
Hizi hapa hii DJ ina bima kubwa na bei yake ni 17M, na hii DC bei ni 14.5M,chaguo ni lako mkuu karibu sana, tuwasiliane 0689699704Ndio kaka itapendeza pia ikiwa Rv4 J
Ungenipa budget yako ingependeza, vipi hii kilitime manual bei ni 16MMi nataka Rav 4 manual kaka ntapata
Ni kweli mkuu inabidi tukabe kila pembe, usijali kabisa kuhusu hili time ikifika hatutakua na namna zaidi ya kufanya hivyo,kwa sasa naomba ushirikiano wako na wana jf wengine tukuze family ya wapenzi wa magari mazuri.Ni wazo zuri lifanyie kazi biashara ni kotekote mkuu
Sawa mkuu nakusubiri, karibu sanaNakutafuta muda sio mrefu
Mkuu mimi nina swali la kizushi. Hivi ni kweli hili gari huo mwaka 1998 lilikuwa limetengenezwa???Toyata Harrier, model 1998,bei 13M, contact 0689699704View attachment 630466View attachment 630467View attachment 630469View attachment 630470
Ukipata jibu nishtue na mm...Mkuu mimi nina swali la kizushi. Hivi ni kweli hili gari huo mwaka 1998 lilikuwa limetengenezwa???
Au ni just tuu iyo model ilikuwa discoverd mwaka huo 1998.
Maana nakua siamini kuona hili gari lina miaka 20 sasa.
Nipe concept
Daaa kuna noa ya 1998 mzeeUkipata jibu nishtue na mm...
Nilishangaa pia kuna Noah za 2003
Mwenyewe pia linanipiga chenga hili suala imebidi nimuulize mwana jf mwenzetu Maui PRONDO nae amejibu kama ifuatavyo.Mkuu mimi nina swali la kizushi. Hivi ni kweli hili gari huo mwaka 1998 lilikuwa limetengenezwa???
Au ni just tuu iyo model ilikuwa discoverd mwaka huo 1998.
Maana nakua siamini kuona hili gari lina miaka 20 sasa.
Nipe concept
Sawa mkuuMwenyewe pia linanipiga chenga hili suala imebidi nimuulize mwana jf mwenzetu Maui PRONDO nae amejibu kama ifuatavyo.
“It is possible. Mfano kuna Bmw 3 series, kitaalam zinaitwa E46 zimeanza kutengenezwa 1998 zikaendelea hadi 2005.Au volvo xc90 zimeanza 2002 mpaka 2009”.
Kwa concept hiyo natumai umepata mwangaza mkuu, kwamba inawezekana model 1998 lakini ikaendelea kutengenezwa kwa miaka inayofuata.
Hii Harrier nahisi itakuwa mali yangu muda si mrefu kama haijauzwa...Inawezekana mkuu japo ongezeko la 1.5M mpaka 1M kwenye hiyo budget linaweza lisiepukike.
Nimepata hii Harrier ni 5s engine, bei yake ni 18M, sasa ukichanganya na hii Ist hapo itafika 27,sasa baada ya hapo tunaingia kwenye negotiation kujitahidi tufike hapo 25M au angalau tukaribie. View attachment 629035View attachment 629036View attachment 629037View attachment 629038View attachment 629039View attachment 629040View attachment 629041 Hii ni 5s kama itakupendeza pamoja na hiyo Ist nyeusi tuanze mchakato
Mungu atakufanyia wepesiHii Harrier nahisi itakuwa mali yangu muda si mrefu kama haijauzwa...
Samahani mkuu nimechelewa kukujibu kluger imeuzwa mkuu, labda unipe kazi, unahitaji ya mwaka gani? yenye usajili wa herufi gani? kwa budget gani?Hiyo kluger ni ya mwaka gani na imetembea kilomita ngapi?
Run ex mili. 4 ipoAllex hizi hapa hii ya silv er milioni 8 na hii nyeusi 7.5View attachment 622098View attachment 622099View attachment 622100View attachment 622102View attachment 622103
Hiyo sina mkuuRun ex mili. 4 ipo