Hii nyimbo ni kiboko, huwa nikiwa Home naisikiliza yenyewe tu.. Inanitia moyo Sana. Inanitoa machozi piaMighty man of war...jimmy d psalmist
Yeah ni kweli ila nyimbo zipo nying sanaWakuu habar,
Ni wazi kuwa kuna nyimbo ukisikiliza moyo unajihisi umetua mazito uliyoyabeba hakika nyimbo za injili(gospel) ndio nyimbo pekee zenye kuvutia moyo apart from other song genre's
Binasfi yangu nikisikiliza hizi nyimbo za GOSPEL hata kama ninamajonzi,moyo unasuhuzika sana na kujihisi nimepona(hauheni)
1.glorious celebration-usilie
* Mwimbo huu mala nyingi napenda kuhusikia pale napokuwa peke yangu,au sehemu nzuri nimetulia,huwa unanipotezea mawazo yote.
2.sinach-way maker
* Mwimbo huu huwa napenda kuusikiliza pale napokuwa safarini mala,mala nyingi huniondolea mawazo ya ajali au mambo mabaya mabaya niwapo safarini..
- Maana mungu ndio mtengeneza njia.
3.joe praize ft soweto choir-mighty god
*uimbaji wa msanii JOE PRAISE ndio ambao unao nivutia katika wimbo huu ni wimbo ambao huko inspired sana huwezi choka usikia mala mbili mbili.
4.mercy masika-mwema
*uzuri wa gospel ni kwamba mwimbo unaimbwa kuhusu vitu real ambavyo tunaishi na tunaviona na vipo mercy ni msanii mzuri sana utunzi wake ni mzuri saaana..
5.evans ogboi-shout hallelujah
*mwimbo upo real sana napia unachezeka tu vizuri,wala hutojutia kukaa kwenye computer yako ama simu
Nyimbo zingine ni
-joe praize_alpha n omega
-aaron taaron ft b mik_i will sing of your praise
-sinach_i know who i am
-joyous celebration_my god is good
-joe praise_unchangable
Nyingine mnisaidie wanajamvi.. list ni kubwa saana...
Karibuni..
post using my macbook air using jamiiforums app
Wakuu habar,
Ni wazi kuwa kuna nyimbo ukisikiliza moyo unajihisi umetua mazito uliyoyabeba hakika nyimbo za injili(gospel) ndio nyimbo pekee zenye kuvutia moyo apart from other song genre's
Binasfi yangu nikisikiliza hizi nyimbo za GOSPEL hata kama ninamajonzi,moyo unasuhuzika sana na kujihisi nimepona(hauheni)
1.glorious celebration-usilie
* Mwimbo huu mala nyingi napenda kuhusikia pale napokuwa peke yangu,au sehemu nzuri nimetulia,huwa unanipotezea mawazo yote.
2.sinach-way maker
* Mwimbo huu huwa napenda kuusikiliza pale napokuwa safarini mala,mala nyingi huniondolea mawazo ya ajali au mambo mabaya mabaya niwapo safarini..
- Maana mungu ndio mtengeneza njia.
3.joe praize ft soweto choir-mighty god
*uimbaji wa msanii JOE PRAISE ndio ambao unao nivutia katika wimbo huu ni wimbo ambao huko inspired sana huwezi choka usikia mala mbili mbili.
4.mercy masika-mwema
*uzuri wa gospel ni kwamba mwimbo unaimbwa kuhusu vitu real ambavyo tunaishi na tunaviona na vipo mercy ni msanii mzuri sana utunzi wake ni mzuri saaana..
5.evans ogboi-shout hallelujah
*mwimbo upo real sana napia unachezeka tu vizuri,wala hutojutia kukaa kwenye computer yako ama simu
Nyimbo zingine ni
-joe praize_alpha n omega
-aaron taaron ft b mik_i will sing of your praise
-sinach_i know who i am
-joyous celebration_my god is good
-joe praise_unchangable
Nyingine mnisaidie wanajamvi.. list ni kubwa saana...
Karibuni..
post using my macbook air using jamiiforums app
Binafsi huwa namwelewa sana Don Moen, Hillsongs, Michael W Smith, Mercy Masika na wengine wengi but hao ndo the best kwangu.Nawakubali planetshakers mungu kawajalia kuimba jamani
Apa Mzee baba katishaa...Narekelemo
Nabarikiwa sana na huyu kaka.
When you heal you heal completely
Sichoki kuangalia hii. Inanibariki sana.Apa Mzee baba katishaa...Narekelemo
Me nairudiaga ata mara 5 kwa sikuSichoki kuangalia hii. Inanibariki sana.
What shall I render to Jehova....for He has done so very much for meMe nairudiaga ata mara 5 kwa siku
Umeona kuna mdada kairudia kwa kiswahiliWhat shall I render to Jehova....for He has done so very much for me
Angel Maggoti huyoUmeona kuna mdada kairudia kwa kiswahili
Nimeona.Umeona kuna mdada kairudia kwa kiswahili
YapAngel Maggoti huyo
weka video basiExcess love by Mercy nchwo
Asanteee kwa kunisaidiahuu hapa