Lookmalasin
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 925
- 971
Wonderfull wonder by Nathaniel basseyIts a classic gospel song..listen to it Sent using Jamii Forums mobile app
Another Classic
Wonderfull wonder by Nathaniel basseyIts a classic gospel song..listen to it Sent using Jamii Forums mobile app
naomba mwenye wimbo wa kimara wale wafanyakazi waliolalamika kulipwa mshara kidogo
Yes he'ableYes its a classic Gospel song...Elijah oyelade knows how to break it down......
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante wimbo mzuri saanaWonderfull wonder by Nathaniel bassey
Its a classic gospel song..listen to it
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante rahabu,
Hakika rahabu,Nyimbo kama hizo unatakiwa uwe umetulia hakuna hekaheka ndo utaelewa uwepo wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kubalikiwa mkuuNabarikiwa sana nakuona mbingu zikifunguka nisikilizapo gospel songs,napata hamu yakuongea na baba yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nzuri mnoo mkuu,
Barikiwa saana
Joe praise popote halipo abarikiwe na mungu aendelee kumtumia katika kazi zake.Asante nmedownload izo nyimbo nlikua sizijui ni nzur sana hyo ya 3 na 4 ni shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaitwa AIC Makongoro Vijana Choir, Mwanza, waliimba pia wimbo maarufu wa 'Kekundu'. Wimbo huo wa Amani uko katika album yao ya 'Keusi'.Hivi Jamani.Ule wimbo sijui Ni kwaya..Waliimba wanajwaya pale Airport mpaka magufuli akaungana nao.Nani kaimba nikanunuee......Aiseee nikiusikiaa machozi ya simanzi hunitokaa'Usiwanyime haki wanyonge...jua haki IPO inacheleweshwaaa..Mwenye madaraka IPO siku utashuka . .kama sijakosea
.
Sent using Jamii Forums mobile app