Wap nitapata nguo nzuri za kiume katika maduka ya kkoo

Wap nitapata nguo nzuri za kiume katika maduka ya kkoo

Kabaizer

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
504
Reaction score
64
Naomba msaada maana mimi huwa naishia yale maduka yaliyopo mitaa ya bigborn sasa kama unafaham mitaa mingine naomba msaada nguo za dukani only. NB,nguo quality na sio quantity
 
Unataka nguo ngapi?? Za jinsia gani?? Unataka za kuuza au zakuvaa tu, kwa maana jumla au rejareja? Unazungumzia quality najua unajua bei, nijibu hapo tufanye biashara
 
Unataka nguo ngapi?? Za jinsia gani?? Unataka za kuuza au zakuvaa tu, kwa maana jumla au rejareja? Unazungumzia quality najua unajua bei, nijibu hapo tufanye biashara

Apologize kwanza lady kisha soma title(kasema nguo za kiume)
 
Back
Top Bottom