wanyonge tulionyongeka tukutane hapa

wanyonge tulionyongeka tukutane hapa

pakamwam

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2013
Posts
516
Reaction score
656
habari
nimeanzisha huu uzi mahsusi kabisa kwa ajili ya wale wanyonge walionyongeka

kunyongeaka ni nini? kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuwa mnyonge sababu ya haki zako kupindishwa kwa namna fulani.

hapa utafaniiwaje.
hapa utapewa ushauri wa namna ya kwenda na jambo lako kwa uwazi na wajumbe waliokuwa wanyonge wametoka au ambao wana uzoefu namna ya kutoka

swla la msingi ni kubadilishana uzoefu na kushirikiana kimawazo ila asifikie mtu akakata tamaa. wapo wasomi wanakosa mwelekeo labda sababu ya ushauri kidogo tu. kwenye uzi huu unaweza pata ushauri na uzoefu.

karibuni
 
Yaani kwa Tanzania kuwa Mnyonge ni kama sifa wakati kwengine kwanza ni siri na unaeza kutengwa maana utaonekana umelaaniwa, huna akili ya kutafuta pesa, huna maarifa ya kutafuta utajiri, huna nguvu, we ni mvivu, huna malinda, yaani upo upo tu. aise kwanza ifike hatua Unyonge iingizwe kwenye kamusi iwe kama kama TUSI
 
Yaani kwa Tanzania kuwa Mnyonge ni kama sifa wakati kwengine kwanza ni siri na unaeza kutengwa maana utaonekana umelaaniwa, huna akili ya kutafuta pesa, huna maarifa ya kutafuta utajiri, huna nguvu, we ni mvivu, huna malinda, yaani upo upo tu. aise kwanza ifike hatua Unyonge iingizwe kwenye kamusi iwe kama kama TUSI
duu unyonge ni tusi. kwa kweli bado natafakari mkuuu
 
sasa huoni kama kuendelea kuitwa mnyonge ni kudhihirisha kuwa huna maarifa na uwezo wa kutafuta
una hoja mahali fulani ila nahitaji kutafari zaidi ili nibadili neno
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kandamizwa.
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kandamizwa.
mh ngoja waje wakukute ukifanya hujuma
 
Back
Top Bottom