Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,711
Halafu Kinyamwezi ni kama Kilingala, maneno mengi yanafanana...Inabidi tukupe "twisheni"!
Halafu Kinyamwezi ni kama Kilingala, maneno mengi yanafanana...Inabidi tukupe "twisheni"!
Halafu Kinyamwezi ni kama Kilingala, maneno mengi yanafanana...
Nadhani pia kuna uhusiano wa karibu zaidi, maana Wamanyema na makabila mengine ya mashariki mwa DRC ama wameishi Tabora kwa karne na karne au asili yao ni Tabora. Nakifahamu Kilingala kwa kiasi fulani, maneno mengi ni kama unaongea Kinyamwezi. Nadhani ndiyo maana hata Tabora inaitwa Mboka (kumbuka hili ni neno la Kilingala linamaanisha Mji sambamba na neno jingine la engumba)...Kwa kuwa lugha zote hizo ni za Kibantu.
Kasie kumbe wewe ni mama yangu mdogo, mama yangu alikuwa Mnyamwezi wa kutoka Ndala Tabora. Nimecheza sana Kamnyangala (kila nilipomtembelea babu mzaa mama wakati wa likizo) na zile nyimbo za harusi kama: Muhala wane, mwanike-oyo kubhela kabhosho kalenganelile, loshiko lweene tokwibhona okomnada Mwanangeleja kabhoshoo kalenganelile...
Dah, kweli Kinyamwezi (siyo kile cha Majuu-USA) kitamu...
Mbona nimeeelewa yote,kisukuma na kinyamwezi havitofautiani sana.Ila Ndembele maana yake nini ?
Sijambo mama. Wabheja...Oohh mwanangu hujamboo.... hongera sana kuwa na chembechembe za kinyamwezi.
Mzee wangu chief mkwawa alichukua chombo mtoto mrembo toka kwa chief isike na kumleta kalenga pale kwa mashujaaa
Tulihoo mayoo!
Aisee Tabora raha sana, Mi nimetoka kwetu kusini nmekuja Unyamwezini, asiwaambie mtu jamani Tabora kuna raha iliyofichika, kuna watoto wa kinyamwezi na wa kiarabu huku hatari(mzee baba najitafunia tu).Mnao sema 'Tangaraha' huko hamna kitu njoeni Tabora mjionee.
Hehehehehehee usipoangalia utastukia umelowea kwa wanyamwezi.
Hehehehheheeeheh na nnavopenda twisheni sasa....
Twisheni si inaanzaga mida ya jioni eeehh....aahahahaahaaaa.
Nipo hapaMnyantuzu nimekuelewa kama Mnyamwezi vile!...😀