JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
Unashauriwa kuwalinda wanyama kama vile unavyowalinda binadamu
Usiruhusu wanyama kushikwa na watu nje ya kaya
Ikiwa mtu ndani ya nyumba anaugua, mtenge mtu huyo na wanyama kama utavyomtenga na watu
Ikiwa mtu anayehudumia wanyama amepata maambukizi ya virusi vya #Corona ni vyema akampa majukumu hayo mtu mwingine