Nashauri Serikali kupitia Bunge kuita Bunge la dharula kujadili suala la tembo na Simba kuvamia makazi ya watu.
Hakuna siku nafuatilia habari nikamiss Habari hii. Kanda zetu zimeshindwa, wanyama wamezaliana wengi Sana kwa kipindi cha miaka Saba.
Sasa Serikali itafute suluhusho la kudumu.
Hakuna siku nafuatilia habari nikamiss Habari hii. Kanda zetu zimeshindwa, wanyama wamezaliana wengi Sana kwa kipindi cha miaka Saba.
Sasa Serikali itafute suluhusho la kudumu.
