Alvin A.
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 2,868
- 3,624
Nyama choma na bia, Mnadhani mimi pia sinywagi, just so you know now.
Niguse uone, watishe hao hao maboya wenzio!
Mzee baba unaongezeka uzito fanya dayati hawachelewi kukufanya kitoweo Ohoo.
Bruce Lee hapa anakaa, sembuse wewe na minyama uzembe yako? Jaribu kujifanya hata unajikuna nikugaragaze!!
Nyie pigeni hata selfie hata sijali, Hapa huyu demu simuachii, mnajua usumbufu niopitia kumpata? mnaleta kiherehere chenu, nyoooo.....
Honey usilale, its too early