Pesa mbovu wakishazikusanya kwa wingi wanaenda kubadilisha B.O.T na kupewa mpya sasa kwa kuwa wanazinunua chini ya thamani halisi ndipo na wao upata faida,unajua mtu akiwa na mia tano au buku imechanika kwenda kubadili benki kuu anaona tabu kwahiyo anaona bora apate nusu hasara uswahilini
Thanks kwa UfafanuziPesa mbovu wakishazikusanya kwa wingi wanaenda kubadilisha B.O.T na kupewa mpya sasa kwa kuwa wanazinunua chini ya thamani halisi ndipo na wao upata faida,unajua mtu akiwa na mia tano au buku imechanika kwenda kubadili benki kuu anaona tabu kwahiyo anaona bora apate nusu hasara uswahilini