The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 35,416
- 107,982
yaani Marekani imekosa kazi, imejawa hofu na kushindwa na Irani kiteknolojia kiasi hicho? dah! Dunia inaenda kwa kasi sana aise πWizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inatoa hadi dola milioni 15 kwa taarifa kuhusu watu binafsi na mitandao ya kifedha inayohusiana na shughuli za uzalishaji wa ndege zisizo na rubani za Iran, ikitambua watu kadhaa wanaohusiana na KIPAS - tawi la uzalishaji wa ndege zisizo na rubani la Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha Quds kinachohusika katika shughuli za uundaji na usambazaji wa ndege zisizo na rubani.
View attachment 3588945
Huyo mzee wa uharo msihangaike nae sana,kisha changanyikiwa na maisha toka kitambo tu,
Ameamua tu kujifariji kwa kujifanya Yahudi mweusi wa Tandale kwa mkunduge.
Kwa akili yako mgando hivyo unafikiri Iran kwa kupoteza viongozi wake wa kiraia na kijeshi unaita kashinda vita? Ama kweli kwenye Madjid-Ubwabwa mnadanganyana sana!!yaani Marekani imekosa kazi, imejawa hofu na kushindwa na Irani kiteknolojia kiasi hicho? dah! Dunia inaenda kwa kasi sana aise π
hakuna mahali nimeeleza alieshindwa vita kati ya Marekani na Irani gentleman, bali kuna nchi imelemewa au kushindwa kiteknolojia dhidi ya nyingine hapo.Kwa akili yako mgando hivyo unafikiri Iran kwa kupoteza viongozi wake wa kiraia na kijeshi unaita kashinda vita? Ama kweli kwenye Madjid-Ubwabwa mnadanganyana sana!!
Kwa hiyo sasa Iran imeizidi Teknolojia Marekani? Ama kweli Ukiwa Mfuga Midevu na Majini ni Janga la taifa!!hakuna mahali nimeeleza alieshindwa vita kati ya Marekani na Irani gentleman, bali kuna nchi imelemewa au kushindwa kiteknolojia dhidi ya nyingine hapo.
Aliyekudanganya Marekani imejawa na Hofu na kiwewe nani au hixo ni hisia zako?ila ninachokiona hapo, ni Marekani kujawa hofu na kiwewe dhidi ya mipango ya Irani isiyojulikana dhidi ya Marekani, na inayosukwa na hao wanamapinduzi wachache kati ya wengi ambao Marekani imewatambua.
Gentleman,Kwa hiyo sasa Iran imeizidi Teknolojia Marekani? Ama kweli Ukiwa Mfuga Midevu na Majini ni Janga la taifa!!
Aliyekudanganya Marekani imejawa na Hofu na kiwewe nani au hixo ni hisia zako?
Kwa hiyo na sisi unataka tukuamini kuwa Marekani ana hofu na kiwewe,? Kwa lipi na kivipi?
Yahudi la kuvundika kutoka uhadzabeni π€£π€£π€£Zee la uharo.
Yahudi la kuchovya kutoka kimanzichana.
Mabwana zako si wamesema wameharibu uwezo wa kijeshi wa Iran na wamewarudisha zama za mawe.
Muelewe mleta mada kipenzi kukosolewa kwenye umati inauma sanaaπ€£π€£
Mwaka huu litrump anaona dunia kwamba ina mwenyewe ambae ameiumbaWizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inatoa hadi dola milioni 15 kwa taarifa kuhusu watu binafsi na mitandao ya kifedha inayohusiana na shughuli za uzalishaji wa ndege zisizo na rubani za Iran, ikitambua watu kadhaa wanaohusiana na KIPAS - tawi la uzalishaji wa ndege zisizo na rubani la Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha Quds kinachohusika katika shughuli za uundaji na usambazaji wa ndege zisizo na rubani.
View attachment 3588945
Kwa akili yako mgando unataka kuwafunfisha Marekani hata namna ya wao kufanya kazi!!Gentleman,
kulikoni sasa Marekani aombe msaada duniani kote tena kwa kumwaga madola ya pesa?π€£
hiyo si inamaanisha teknilojia yake imeshindwa kubaini mipango ya Irani dhidi yake, lakini hiyo inatoa picha kua Irani ni tishio kijeshi na kiteknolojia duniani na haiyumbishwi na yeyote ulimwenguni kijeshi au kiuchumi.
Ni wazi Marekani amajawa kiwewe, hajui Irani ataibamiza wapi na kutokea upande upi π
maana yake hawajui la kufanya ndio maana wanaomba msaada duniani tena kwa mapesa mengi tu πKwa akili yako mgando unataka kuwafunfisha Marekani hata namna ya wao kufanya kazi!!
Sasa marekani anatangaza dau ili nani awakamate wakati yeye kashindwa kwa mwezi mzima aliowashambulia Iran?Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inatoa hadi dola milioni 15 kwa taarifa kuhusu watu binafsi na mitandao ya kifedha inayohusiana na shughuli za uzalishaji wa ndege zisizo na rubani za Iran, ikitambua watu kadhaa wanaohusiana na KIPAS - tawi la uzalishaji wa ndege zisizo na rubani la Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha Quds kinachohusika katika shughuli za uundaji na usambazaji wa ndege zisizo na rubani.
View attachment 3588945
Hi ndio point muhimu sana kuitazama kashindwa yeye labda msafisha vyoo kule Tela Aviv Echolima1 anaweza kuja na uharo kuliko wa USA huoni ana jamba jamba anataka kuharisha Iran kuwapiga bomba safari hii wataharisha tu watake wasitakeSasa marekani anatangaza dau ili nani awakamate wakati yeye kashindwa kwa mwezi mzima aliowashambulia Iran?
Mtoto wa kibosho aliishia darasa la tano sababu Wayahudi walimchukua pale kibosho bado umri wake ana miaka 12 na kumpeleka Tela Aviv kwa ajili ya kusafisha vyoo unategemea nini hapo zaidi ya ujinga ulio pitiliza kiasi.Died β
Dead β
Kwani Marekani kaanza leo kutoa Donge nono? Kwa magaidi wote huwa anatoa done nono na hii kwake ni kawaida hakuna cha ajabu hapo!!Sasa marekani anatangaza dau ili nani awakamate wakati yeye kashindwa kwa mwezi mzima aliowashambulia Iran?