Wangoni.

Wangoni.

mbonimpaa

Member
Joined
Jan 29, 2014
Posts
25
Reaction score
6
habari zenu wanajamvi. naombeni msaada kwa anaejua sifa za mwanaume wa kingonii anisaidie plz. nawakilishaa
 
Unasemaje kwani? Tabia zetu za nini? Unataka tabia au mchumba? Acheni ushamba wa kuchora kabila fulanifulani kama ndizo zenye tabia fulanifulani.Kila tabia zaweza kuwa katika kila kabila. Kiukweli,sisi wangoni hatuna tabia zinazotufanya tutambulike kama kabila.Kila mmoja ana zake.
 
Te tivipala vadara hasa palihele lvyuva. Ngati uyelewi yika bwela ku pm.
 
Bora umkabidhi pesa itafika kuliko mke utajutraaa.

Na kwa pombe ogopa sana.
 
Wangoni wana tabia 1 UKIMPA PESA ITAFIKA NYUMBANI LAKINI MKE HATAFIKISHA KWA KIFUPI MLY,
2 NI WALEVI WA KUTUPA
3 WANAPENDA SIFA NA WANAONGEA HATAREE
4 JAMAA NI SMATI UNAWEZA KUTA KAVAA SURUALI NA SHATI KITU KIMEPIGWA PASI NA TAI JUU NYUMA LIMECHANIKA.
5. WANAPENDA KUULAMBA UTAFIKIRI WANAFANYA KAZI TRA KUMBE MAKULI KARIAKOO ENDELEEA.
 
kikubwa wanaongoza kwa umalaya na walevi kupindukia. Onyo; usimtume kwa mke wako utaliwa
 
Unasemaje kwani? Tabia zetu za nini? Unataka tabia au mchumba? Acheni ushamba wa kuchora kabila fulanifulani kama ndizo zenye tabia fulanifulani.Kila tabia zaweza kuwa katika kila kabila. Kiukweli,sisi wangozi hatuna tabia zinazotufanya tutambulike kama kabila.Kila mmoja ana zake.



Ucpanic brother. jus relax
 
Wangoni wana tabia 1 UKIMPA PESA ITAFIKA NYUMBANI LAKINI MKE HATAFIKISHA KWA KIFUPI MLY,
2 NI WALEVI WA KUTUPA
3 WANAPENDA SIFA NA WANAONGEA HATAREE
4 JAMAA NI SMATI UNAWEZA KUTA KAVAA SURUALI NA SHATI KITU KIMEPIGWA PASI NA TAI JUU NYUMA LIMECHANIKA.
5. WANAPENDA KUULAMBA UTAFIKIRI WANAFANYA KAZI TRA KUMBE MAKULI KARIAKOO ENDELEEA.


Asanteeeeeeeee
 
Unasemaje kwani? Tabia zetu za nini? Unataka tabia au mchumba? Acheni ushamba wa kuchora kabila fulanifulani kama ndizo zenye tabia fulanifulani.Kila tabia zaweza kuwa katika kila kabila. Kiukweli,sisi wangozi hatuna tabia zinazotufanya tutambulike kama kabila.Kila mmoja ana zake.

Wangoni ni wachawi,walevi na ni malaya kwa kiasi kikubwa sana.
 
Bora umkabidhi pesa itafika kuliko mke utajutraaa.

Na kwa pombe ogopa sana.

Kweli mkuu.

Umenikumbusha jamaa mmoja tulikuwa naye Japan; alifunga safari toka Nagoya hadi Tokyo (Ni umbali kama km 550) kutafuta papuchi! Wakati huo Nagoya ilikuwa hakuna madanguro.
 
Back
Top Bottom