Mwlmgomaji
Member
- Aug 3, 2012
- 93
- 6
Ifikie mda sasa watanzania tuweke longo longo pembeni na mabishano yasiyo na msingi wa kuijenga nchi yetu. Nchi yetu ya Tanzania imebarikiwa sana tena sana. Madini ya kumwaga ikiwemo gesi asilia, mafuta, almasi, dhahabu na kadharika. Mbuga za wanyama za kutosha kufanya sekta ya utalii kukua.
Pande zote tumezungukwa na maji ya mito, maziwa na bahari ya hindi japo kuwa tatizo la maji na umeme ni kikwazo. Najua hatuwezi kupata maendeleo ya haraka mpaka tuwekeze vyema katika elimu. Ipo haja ya kujitambua wewe ni mwanachama gani na kwanini unakipenda chama hicho.
Mie ni mwana chama wa CHADEMA kwa sababu ninahitaji mabadiliko ndani ya nchi yangu. Ili kama mtanzani nijifunze vyema kuwa uongozi lazima uwe msafi yani kwa undani wako na uunje wako. Wasifu wako ukubali kuwa mwadirifu na mchapa kazi hodari.
"IKULU NI MAHALI PATAKATIFU" Alie toa kauli hii alikuwa anatambua kwa uzoefu wake kuwa baadhi ya sehemu ukiingia utambue kama ndo dereva. Kwahyo sio shughuli rahisi kama inavyo mfanya mtu aitwe rais. Ieleweke ya kwamba "TANZANIA HAITAWALIKI KIENYEJI ENYEJI AU KWA UCHAKACHUAJI" dhana hii imejengeka vibaya.
Wewe je mwana JF Ni chama gani na kwanini umekipenda chama hicho?
Pande zote tumezungukwa na maji ya mito, maziwa na bahari ya hindi japo kuwa tatizo la maji na umeme ni kikwazo. Najua hatuwezi kupata maendeleo ya haraka mpaka tuwekeze vyema katika elimu. Ipo haja ya kujitambua wewe ni mwanachama gani na kwanini unakipenda chama hicho.
Mie ni mwana chama wa CHADEMA kwa sababu ninahitaji mabadiliko ndani ya nchi yangu. Ili kama mtanzani nijifunze vyema kuwa uongozi lazima uwe msafi yani kwa undani wako na uunje wako. Wasifu wako ukubali kuwa mwadirifu na mchapa kazi hodari.
"IKULU NI MAHALI PATAKATIFU" Alie toa kauli hii alikuwa anatambua kwa uzoefu wake kuwa baadhi ya sehemu ukiingia utambue kama ndo dereva. Kwahyo sio shughuli rahisi kama inavyo mfanya mtu aitwe rais. Ieleweke ya kwamba "TANZANIA HAITAWALIKI KIENYEJI ENYEJI AU KWA UCHAKACHUAJI" dhana hii imejengeka vibaya.
Wewe je mwana JF Ni chama gani na kwanini umekipenda chama hicho?