Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,016
- 2,195
Mwandishi katumia lugha ya mafumbo sana.Huyu mwandishi naye alitulisha tango pori. Mbuzi kachinjwa atakunywaje maji??
mimi nilidhani mbuzi alipo chinjwa maji na fimba yalitumika kuoshea na kupikia na kuni
Kikoje hicho? Kinafanana na hiki? Kimwageinteresting, inakumbusha mbali mimi nimekikumbuka kisa cha buibui na.............?
kwa utawala huu mtakumbuka mpaka kisa cha yohana mjinga, mie nasubiri maana kisa cha robinson kruso kina fumbo la maendeleoMwandishi katumia lugha ya mafumbo sana.
Kwenda huko na wewe..kwa utawala huu mtakumbuka mpaka kisa cha yohana mjinga, mie nasubiri maana kisa cha robinson kruso kina fumbo la maendeleo
Wahenga.......Leo nimetembelewa na rafiki yangu kipenzi Zurie, amenikumbusha kisa kitamu sana cha Karume Kenge. Ni wangapi mlikisoma hiki?
Tukumbushane mafunzo yake humu.
View attachment 547341
View attachment 547342
View attachment 547343