We nawe! Miye sim yangu ndo kimeo kabisaaaaaa haisomi msg! Nipelekee kwa fundi basi! Loh!
hahaha haahaha weee ndio umeamua kukomeshea kabisa. wewe subiri ataitengeneza halafu sijui utasingizia nini?
ntamwambia batani zimegoma hazibonyezeki!
We nawe! Miye sim yangu ndo kimeo kabisaaaaaa haisomi msg! Nipelekee kwa fundi basi! Loh!
ntamwambia batani zimegoma hazibonyezeki!