Wanawake wenye ndevu sio mchezo!

Namba 2 nilijua mjukuu wa malkia!..Lakini nikafikiria nguvu ambayo ingetumika kumrudisha kawaida!..
 
Nimesikia wanakuwa na papuchi motrooo balaaa
 
Tukiwa tunaendelea na tukio

Mimi: Mwa...mmwwaa....jjj..juummm..aa nakojoaaaaaaaaaaaa

Yeye: Mwajuma ni nani?

Mimi: (Huku nahema) Ni..n..ni. wewe sweetie.

Yeye: Stupid, nimekwambia naitwa Juma.

Mimi: Eeehh!!!? Mbona nimekuita Mwajuma wiki mbili mfululizo ukawa unaitika.

Yeye: (Huku ananyanyua mabega juu kumaanisha 'Sijui') basi tu Niliamua ku go along with it.

Mimi: Ila si una qummer si ndiyo? I mean ndevu si za ukoo?

Yeye: Ndiyo.

Mimi: Juma jiandae kwa raundi ya pili.
 
LA msingi uhakikishe ananyoa ndevu zote na kukwangua, unaweza ukasahau wakati unamshika kidevu unakutana Nazo, hujaliga kelele usiku.
 
Alafu hawa unaweza kuta ni watamu balaa
 
Hormone imbalanced ndo tatizo kubwa kama huyo picha ya kwanza ni mzaliwa wa UK ila mwenye asili ya nchi za Asia
 
Wanaume wanapata wapi ujasiri wa kuwatongoza hao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…