Wanawake wengine mlioolewa mnakatisha tamaa!

Wanawake wengine mlioolewa mnakatisha tamaa!

Status
Not open for further replies.
mkuu nikiweka hapa ntakuwa kichwa panzi kama wao,ngoja nizichambue ambazo sio rahisi kugundulika kwa sura thn nifanye mchakato wa kuingia jukwaa la wakubwa afu ntazitupia kule
kule huwezi pata access kwa id hii
 
Siwezi toa lawama tuu kwa mwanamke ata huyo jamaa pia ni mtu mwenye makosa. Inafahamika wanawake ni viumbe dhaifu wameumbiwa ushawishi ,changamoto ni pale kunapotokea ushawishi juu ya ushawishi inakuwa ngumu kwao

Mwanaume pia anamakosa kashindwa kuheshimu ndoa ya huyo dada na zaidi kashindwa kuheshimu faragha ya huyo dada.
 
Wewe dada wa TBL Mbeya mwenye watoto wawili na mume mpole, njoo faster JF kimenuka
 
Tulishakubaliana mabaharia ni kitu kimoja kusaidiana wewe ndo wale mnaenda tofauti na jinsia yetu Fanya kutafuta namna ya kumtonya huyo demu bila kujulikana ainusuru ndoa yake

Ningekwambia umtonye jamaa aachane na huyo Malaya ila ulivyosema wana watoto nimewaonea huruma kukosa malezi ya mzazi mmoja au wote trust me ni hatar

At least for the first time in your life Fanya kitu cha busara cha maana ..au endelea kuwa muoga coward







Oyaa Man halafu na Mimi nitumie hizo picha piemu we kausha janja mambo ya kuungilia ndoa za watu yatakutokea puani usimsikilize huyo jamaa alieandika paragraph za hapo juu nisikilize Mimi mlevi we kausha mwamba
 
kwahiyo hata kama
Kingine wanaume mliooa hakikisheni wake zenu kile chakula cha usiku mnawapa kwa speed ya 5G vinginevyo wakikutana na wahuni msianze kulialia
hapewi kwa hiyo speed ndo afike mahali aanza kutuma picha za uchi?? huo ni ujinga tuu wa wanawake a siku hizi
 
Tatizo sio chaguzi,wengi wanaharibika wakiwa kwenye ndoa..Tamaa na upumbavu vimewatawala
 
Mkuu, ebu tupi hiyo picha ya nyapu ili tuinuse nasisi tufaudu utamu wa huyo dada wa mgodini chunya
 
Siwezi toa lawama tuu kwa mwanamke ata huyo jamaa pia ni mtu mwenye makosa. Inafahamika wanawake ni viumbe dhaifu wameumbiwa ushawishi ,changamoto ni pale kunapotokea ushawishi juu ya ushawishi inakuwa ngumu kwao

Mwanaume pia anamakosa kashindwa kuheshimu ndoa ya huyo dada na zaidi kashindwa kuheshimu faragha ya huyo dada.
Mbona sisi tunashawishika tukiona makalio, mimi siwezi kujizuia kutamani makalio lakini piga picha dudu lako uwatumie wanawake kama watakutamani
 
Dah
Tulishakubaliana mabaharia ni kitu kimoja kusaidiana wewe ndo wale mnaenda tofauti na jinsia yetu Fanya kutafuta namna ya kumtonya huyo demu bila kujulikana ainusuru ndoa yake

Ningekwambia umtonye jamaa aachane na huyo Malaya ila ulivyosema wana watoto nimewaonea huruma kukosa malezi ya mzazi mmoja au wote trust me ni hatar

At least for the first time in your life Fanya kitu cha busara cha maana ..au endelea kuwa muoga coward







Oyaa Man halafu na Mimi nitumie hizo picha piemu we kausha janja mambo ya kuungilia ndoa za watu yatakutokea puani usimsikilize huyo jamaa alieandika paragraph za hapo juu nisikilize Mimi mlevi we kausha mwamba
 
hapana mkuu me naoa mwakani,leo nikimfanyia hivi mshkaji,kesho yatakuwa kwangu,si unajua kipimo unachopima ndicho utakacho pimiwa
Kumbe ni yule dada aliesoma food science ngoja nifanye kumpigia mume wake nimwambie ukweli.
 
jamani mbona JF tunaingiilia uhuru wa watu
kwanini kikuume mpaka umtangaze kona zote mnadhani ndio ataachika?
kina Kim Kardashian, kina Amber Rutty na wengineo wamejionesha licha ya huko XVIDEO na maisha yanaendelea
Hebu muacheni dada wa watu
km mnazo hizo picha na namba yake mwambieni naomba namba namtumia bundle ajiunge Jukwaa letu tusabahiane nae
 
Kumbe ni yule dada aliesoma food science ngoja nifanye kumpigia mume wake nimwambie ukweli.
haaa haaa haaa mkuu utasababisha wote waliosoma food science waanze kuwa na hofu,mbona sio huyo mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom