vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 2,668
- 5,278
Kwa uzoefu wangu wanawake karibu wote wenye tuvichwa tudogo yaani ni sifuri kichwani, wanadanganyika kirahisi. Wepesi wakudanganyika na wepesi kuomba msamaha.
Ukimkalisha chini umkanye ni kama unapoteza muda kwani hakuna linalomkaa kichwani! Hata kwenye ndoa hawa watu ndiyo wanaongoza kwa kuharibu familia.
Ni tofauti kabisa na wenzao wenye ndonga kubwa, wengi wanajielewa. Akisaliti basi ni chaguo lake lakini siyo kudanganywa kurahisi.
Ni wasihi vijana wawe makini sana na wanawake wenye tufichwa tudogo, wengi wao ni debe tupu kichwani.
Ukimkalisha chini umkanye ni kama unapoteza muda kwani hakuna linalomkaa kichwani! Hata kwenye ndoa hawa watu ndiyo wanaongoza kwa kuharibu familia.
Ni tofauti kabisa na wenzao wenye ndonga kubwa, wengi wanajielewa. Akisaliti basi ni chaguo lake lakini siyo kudanganywa kurahisi.
Ni wasihi vijana wawe makini sana na wanawake wenye tufichwa tudogo, wengi wao ni debe tupu kichwani.