Wanawake watata/wabishi ndio wanaofaa kuoa!

Wanawake watata/wabishi ndio wanaofaa kuoa!

Kwakweli kuna raha yakuwa na mwanamke anaye hoji kwanini hivi na si hivi? si kila kitu ndio, muda mwingine unaweza ukafikiri huyu ni kichwa maji hata kwenye hili siwezi kumshirikisha maana yeye atasema sawa tuu hata kama sio sawa.

Inakuwa ni vigumu kujua kama kitu au jambo ulio amua ni sawa au lah kama una mtu wa aina ya ndio mzee tena bila sababu.
 
hahha i like this.. na hata akipigwa chini atahakikisha kakurudisha anga zake af akubwage weweee

apana chezea kabisa....wanaume wote wanaoleta masihara kwenye hii thread ujue yamewakuta...
 
Kwakweli kuna raha yakuwa na mwanamke anaye hoji kwanini hivi na si hivi? si kila kitu ndio, muda mwingine unaweza ukafikiri huyu ni kichwa maji hata kwenye hili siwezi kumshirikisha maana yeye atasema sawa tuu hata kama sio sawa.

Inakuwa ni vigumu kujua kama kitu au jambo ulio amua ni sawa au lah kama una mtu wa aina ya ndio mzee tena bila
sababu.

you know what am talking about!!!
 
Wewe jamaa..ilibidi uandike hivi..Mwanamke mtata ndie aliyenifaa kuoa...!!
 
ndo ugonjwa wangu maana napenda challenge...mwanamke huuuuuuuuuuuuuu ctaki ata kumuona.

hapo nimekuelewa, and not necessarily , every one else should fall for your choices.....that's your way of living and your choices...
 
teh teh teh wanapokezana sio....? sio rahisi kuacha anaweza kuacha usiku akaruka mchana....

usinigombanishe na mchepuko....

nakuheshimu pia mkuu, ungejibu tu....

washaoana watarukaje ukuta lol
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom