jiwe gizani
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 380
- 506
Hapo vepe
Tatizo ni kuwa una jinsia mbili na ndio maana unaliona hilo kwa mtazamo wako huo!Wasokuwa na ela lazima wakatae....
Huyu jamaa naye ni zero kaisa yani kuuza nguo kaona kashatoka kimaisha sipati picha angekuwa na utajiri wa Mo ingekuwaje? Ndio role model huyu kweli tunaitaji ukombozi mwingine.
Msimamo bila kumhudumia mwanamke? Ni kweli kuna wanaume ukiwa naye usipoomba pesa anakuuliza unaishije bila mimi kukupa pesa? Salon umelipia nini, mafuta ya gari nan anakujazia hata km anajua unaweza! Mwanaume yeyote anayejua nafasi yake kwa mwanamke lazima awe proud kuhudumia!Tatizo ni kuwa una jinsia mbili na ndio maana unaliona hilo kwa mtazamo wako huo!
Sio kila asiyempa mwanamke hela ni kwakuwa hana hela ni swala la msimamo tu.
Yeye hajasema ana hela, au hajasema Biashara yake ndo inafanya kujua jukumu lake kaa mademu......kwa mwanaume yeyote mwenye anajua nafasi yake kwa mwanamke lazima awe proud kuhudumia bana hata kama kidogoHuyu jamaa naye ni zero kaisa yani kuuza nguo kaona kashatoka kimaisha sipati picha angekuwa na utajiri wa Mo ingekuwaje? Ndio role model huyu kweli tunaitaji ukombozi mwingine.
huyu jamaa ana namna yake ya ku attract pussy
MSIMAMO BILA HELA?Tatizo ni kuwa una jinsia mbili na ndio maana unaliona hilo kwa mtazamo wako huo!
Sio kila asiyempa mwanamke hela ni kwakuwa hana hela ni swala la msimamo tu.
Unaelewa kiswahili vizuri? Mtu kama Bill Gates anaendesha mgongo wa chura sio kwamba hana hela ya kununua Latest Rollce Royce Ghost ila ni misimamo yake tu kuwa he doesnt need that for now!MSIMAMO BILA HELA?
Tuliza mapepe wewe mbona hakuwai kuyasema haya kipindi analipwa mshahara laki saba tumia ubongo anachojaribu kuonyesha ni anauwezo wa kuonga then thats good foe him and whoever anayempatia thats being SIMP aka his a beta version of male end of story, alphas know what i mean.Yeye hajasema ana hela, au hajasema Biashara yake ndo inafanya kujua jukumu lake kaa mademu......kwa mwanaume yeyote mwenye anajua nafasi yake kwa mwanamke lazima awe proud kuhudumia bana hata kama kidogo
Ni mind gameVunja Bei anacheza tu na akili za dada zetu hapa bongo
We unadhani kwa akili yako anafanya hivyo la hasha. Huo n mtego tu wa kuwatomba zaidii dada zetu waingie kingi
NA WATANASA TUUU