shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,325
habari wadau..
nilikuwa napiga story na staffs wenzangu wanalalamika wanaume majembe ngumu kuwapata sana.. wengi wao nowdays mabishoo tu alteza nyingi.. ukienda geto linawaka waka kumbe mikopo tu.. siku mbili tatu anakupiga mzinga wewe binti nikacheka sana maneno yao..
ila nikawaza mbona watu wengi smart sana kwenye mambo ya kimaisha wanawake zao sio wasomi kama hawa wanaolalamika...
mdada mzuri na ameelimika anashindwa vipi kugundua hapa nimeingia choo cha kiume...
nasikitika sana dada yangu napoona anakimbizana na mabishoo tu kila anapopoint why asipoint wenye vision kama kina lugumi, home shopping centre sijui, na vijana wengine wenye akili za maisha kama raphael.. ambaye unaona kabisa hapa leo tunalala njaa ila next 10 yrs tutakuwa somewhere... au altezza hizo zina dawa
Inspirational story: Raphael Logistics, largest heavy lift company in Tanzania
kwa nini wanawake wengi smart huwa wanapoint lazy man kuwa spouse wake
why usipoint kina bakhressa watarajiwa wa miaka ijayo ukakikomboa kizaz chako kisipitie tabu ulizopitia wewe...
nilikuwa napiga story na staffs wenzangu wanalalamika wanaume majembe ngumu kuwapata sana.. wengi wao nowdays mabishoo tu alteza nyingi.. ukienda geto linawaka waka kumbe mikopo tu.. siku mbili tatu anakupiga mzinga wewe binti nikacheka sana maneno yao..
ila nikawaza mbona watu wengi smart sana kwenye mambo ya kimaisha wanawake zao sio wasomi kama hawa wanaolalamika...
mdada mzuri na ameelimika anashindwa vipi kugundua hapa nimeingia choo cha kiume...
nasikitika sana dada yangu napoona anakimbizana na mabishoo tu kila anapopoint why asipoint wenye vision kama kina lugumi, home shopping centre sijui, na vijana wengine wenye akili za maisha kama raphael.. ambaye unaona kabisa hapa leo tunalala njaa ila next 10 yrs tutakuwa somewhere... au altezza hizo zina dawa
Inspirational story: Raphael Logistics, largest heavy lift company in Tanzania
kwa nini wanawake wengi smart huwa wanapoint lazy man kuwa spouse wake
why usipoint kina bakhressa watarajiwa wa miaka ijayo ukakikomboa kizaz chako kisipitie tabu ulizopitia wewe...