Wanawake wanene kutoolewa!

Wanawake wanene kutoolewa!

mwaps

Senior Member
Joined
Jan 6, 2014
Posts
159
Reaction score
127
Nimejaribu kufanya utafiti wangu mdogo,nikagundua kwamba wanawake walio wengi ambao ni wanene hawajafanikiwa kuolewa.Maswali najiuliza kwanini wanawake wengi ambao ni wanene hawajaolewa?
 
Nani alikwambia tandam hawaolewi au na wewe ni kibonge
 
wanene kivipi, kuna unene wa aina nyingi, kifua, matako, tumbo au unene upi unaongelea
 
Wanawake vibonge basi,nieleweke hivyo!
 
Hofu yako tu jirani yangu ana wake wawili yote mizinga wala hana hata mpango wa kutaliki anasema hawana king?ng?nizi na kazi siyo kubwa
 
mmmmmm,rudi tena mkuu au kuna wengine wanakwambia mwanamke mwembamba anaumiza mwanamke mnyama,huyu atakua na kgs200 ulomfanyia utafiti........
 
sema ni bahat bahat cna kuolewa asee.watu wanapenda anenepee baada ya kuolewa
 
Nimejaribu kufanya utafiti wangu mdogo,nikagundua kwamba wanawake walio wengi ambao ni wanene hawajafanikiwa kuolewa.Maswali najiuliza kwanini wanawake wengi ambao ni wanene hawajaolewa?

Are those myths or facts?
 
Nimejaribu kufanya utafiti wangu mdogo,nikagundua kwamba wanawake walio wengi ambao ni wanene hawajafanikiwa kuolewa.Maswali najiuliza kwanini wanawake wengi ambao ni wanene hawajaolewa?

mnaweza kubisha sana lakin kilichosemwa kina ukweli wa zaid ya 60%, majority ya wanawake walio wanene kwenye ndoa walinenepea huko na sio kwamba waliolewa wakiwa vibonge....(nani anataka kuoa mwanamke aliyetepeta kabla hata ya kuzaa; as akizaa atakua ni zaidi ya funza kimophology)

NB: unaoona wanaolewa vibonge bac hata wanaowaoa utawaona wanaendana nao (ugly or fat as ass guys)
 
demu wangu alikuwaga bonge nikadhani nampenda peke yangu...juzi kuna jinga jinga likaja kumuoa hivo hivo na unene wake
 
Wanawake wanene kwa nyuma ndio wanaoongoza kuolewa Tanzania na Africa kwa ujumla.
 
Weeeeeee kuna watu wana mashep jaman....
Tako bukoba hipsi dodoma lingine dar..kiuno nyigu sura sasa ka baby face...sauti sasa ya kudeka...
Mweeeeeee huna gari humpati ng'ooo maana matunzo huyawezi.
Chezea everlenk wangu weyeeee
 
Last edited by a moderator:
Wanene wengi japo sio wote ni vilaza, wavivu
Pia unene unaenda sambamba na magonjwa mengi
 
Weeeeeee kuna watu wana mashep jaman....
Tako bukoba hipsi dodoma lingine dar..kiuno nyigu sura sasa ka baby face...sauti sasa ya kudeka...
Mweeeeeee huna gari humpati ng'ooo maana matunzo huyawezi.
Chezea everlenk wangu weyeeee

Hili tangazo amelipia?

cc everlenk.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom