Wanawake! Wanawake! Mna shida gani jamani?

Huyu demu ulivyompotezea aliamia so ameamua kukuoshea/kukufanyia malpiza

Wew pia kimyaaaaaaa tuu kwakuw amejipang muda huuu


Ila baadae anawez kujilengesha so usijiachie tumia akili
 
DJ waleteeeeeee Dear boys......
Huku watu wa kwenda kudai 10,500 wakijiandaaaaa...
 
Mtoa mada kapoteza pambano ambalo ushindi ulikua nje nje,sasa haamini kama mpira umeisha

Kikubwa hapo rudi tena chimbo mpaka atakapojilengesha mwenyewe tena,na ukimuotea upige hadi beki kwa hasira
afu uanze tena nyodo
 
Kosa lako ni ulivyomwambia mkapime, akasema umpe muda yawezekana ulimwonesha kama vile unaamini kaathirika na anataka akuambukize.
Tena yawezekana hata uliwasimulia watu na yeye akayapata.

Ndio maana alikubali mpime ujue afya yake kisha akuache maana angekuacha ungesema kakuacha kwa sababu ameathirika na msimamo wako ulikuwa ni kupima kwanza.

Unavyomshirikisha mtu suala la kupima, ukiona anasita sita, haimaanishi kaathirika. Halafu hautakiwi kumwonesha kwamba unaogopa sana UKIMWI. Wewe mwambie unampenda na unataka mjue afya zenu ili kama ikitokea mmoja hayupo salama, mtumie njia za kujikinga.

Siku nyingine tumia akili.
 
Huyo dada nimempenda bureee[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059] ulijua umepata vya bure bure
 
Duh kaz ipo ila nawashukuru TIGO asubuh wamenitumia gawio 41000 machungu yamepoa

Afu kuna much know humu ndan huyu dada kazingua km alijua haupo na mm tena alikubal kwenda kupima ili iweje
 
We ulipata bahati ya kula mbususu kwa ubwege wako ukairingia sasa unaitaka ya nini? Sisi wakulungwa huwa tunazichakata kwanza kupima baadae, ni bora ata ungeifumua kwa mpira then ukaibembeleza kupima.
 
We ulipata bahati ya kula mbususu kwa ubwege wako ukairingia sasa unaitaka ya nini? Sisi wakulungwa huwa tunazichakata kwanza kupima baadae, ni bora ata ungeifumua kwa mpira then ukaibembeleza kupima.
Hii kwel kqbisa ila tatizo mm npo s3nsitive sanq nikiwa room natakq nimle kila kitu bila uoga
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…