Wanawake wanavyosalimia

Wanawake wanavyosalimia

mhalisi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
1,181
Reaction score
322
waungwana, napenda kuuliza ni kwanini baadhi ya wanawake au wasichana wakimsalimia au kumpa mkono mwanaume uchuchumaa kidogo na kunyanyuka? kitendo hiki kina maanisha nini?
 
waungwana, napenda kuuliza ni kwanini baadhi ya wanawake au wasichana wakimsalimia au kumpa mkono mwanaume uchuchumaa kidogo na kunyanyuka? kitendo hiki kina maanisha nini?

kasome historia shule ya msingi
 
mmmh! cyo wote just depend on acertain society, hususan nyanda za juu kusin(mbeya & iringa) yaani wanaosema KAMwenne kutoka iringa na wale wanaosema MWAGONA na ugonile kutoka mbeya na baadhi kanda ya ziwa@wasukuma.
 
Last edited by a moderator:
waungwana, napenda kuuliza ni kwanini baadhi ya wanawake au wasichana wakimsalimia au kumpa mkono mwanaume uchuchumaa kidogo na kunyanyuka? kitendo hiki kina maanisha nini?

job true true na wewe chuchumaa muende sawa..
 
waungwana, napenda kuuliza ni kwanini baadhi ya wanawake au wasichana wakimsalimia au kumpa mkono mwanaume uchuchumaa kidogo na kunyanyuka? kitendo hiki kina maanisha nini?

hao watakuwa wasukuma wahehe au watu wa mbeya..
 
Wanawake wa wapi?wachagga?wapare?hahahahahaha
 
wanyakyusa ata wakiongea na simu uchuchumaa au kupiga magot kabisa
 
waungwana, napenda kuuliza ni kwanini baadhi ya wanawake au wasichana wakimsalimia au kumpa mkono mwanaume uchuchumaa kidogo na kunyanyuka? kitendo hiki kina maanisha nini?

wanakuwa wanaokota hela : REFERENCE: My ex girfriend Manka
 
Kwa wafipia wa sumbawanga wote huchuchumaa,mwanamke na mwanamme
 
waungwana, napenda kuuliza ni kwanini baadhi ya wanawake au wasichana wakimsalimia au kumpa mkono mwanaume uchuchumaa kidogo na kunyanyuka? Kitendo hiki kina maanisha nini?

tamaduni
 
waungwana, napenda kuuliza ni kwanini baadhi ya wanawake au wasichana wakimsalimia au kumpa mkono mwanaume uchuchumaa kidogo na kunyanyuka? kitendo hiki kina maanisha nini?

ushirikina mtupu hapo
 
Njaa tu hakuna lolote!
Nachukizwa sana tabia za kunyenyekeana kwa kisingizio cha heshima
 
heshima kwa mwanaume kuwa ndiyo kiongozi , ila ni kwa baadhi ya makabila tu
 
Back
Top Bottom