Wanawake wanataka wenye...


Japokua mimi kwenye swali langu sijataja neno upendo,wacha nikuulize,ni wakati gani kati ya zamani na sasa upendo umeonekana kwenye uhusiano?
 

Unafikiri jambo la kutimiza unabii wa aina hii ni sifa?Nenda kasome maandiko ili ujue kitakachompata mtu wa namna hii kama utasema "hebu tuache tutimize maandiko"Pole sana.What is pesa anyway?Namuomba Mungu akupe maisha marefu naamini utajifunza mengi!
 
Wanajisahau kuwa huwa wanawapendaga waliojiremba au waliopendeza hafu kuwapendezesha wapenzi wao wanang"aka sasa sijui tutapendezaje kama wasipotuwezesha, lol. Eti true love......true love bila kupendeza. bila mashamushamu aka.

Kwani nyie mnashindwa kujipendezesha wenyewe?
 

I knw!But wanaoathirika zaidi ni wanaume kwa sababu ni muwindaji!Upande wa pili wenyewe unasubiri kama vile kipa golini,kama hakuna mashambulizi anarelax!
 
Now ladies are showing there true colours!!!!. . . . . . .
 
Japokua mimi kwenye swali langu sijataja neno upendo,wacha nikuulize,ni wakati gani kati ya zamani na sasa upendo umeonekana kwenye uhusiano?

To be honest ni sasa. Sasa watu hujichagulia wapenzi wao. Mambo ya kutodumu ni anaother mada ya kujadiliwa hapa.
 
Kwani nyie mnashindwa kujipendezesha wenyewe?

Tunasaidiana. Hivi utajisikiaje mpenzio ndo akiwa anaprovide mahitaji? uanaume wako hapa utakuwa wapi? nonino?

Wewe ni kichwa cha familia bana hata bibilia inasema unatakiwa uwe juu kwa kila kitu for safe side.
 
To be honest ni sasa. Sasa watu hujichagulia wapenzi wao. Mambo ya kutodumu ni anaother mada ya kujadiliwa hapa.

Unajua upendo ni kitu gani?Kama ni sasa kwanini ndoa hazidumu,plz don't tell me tusijadili kutokudumu kwa sababu upendo ndo unasababisha ndoa idumu au isidumu.Kama upendo upo nyakati hizi kwanini ndoa hazidumu?
 
Unajua upendo ni kitu gani?Kama ni sasa kwanini ndoa hazidumu,plz don't tell me tusijadili kutokudumu kwa sababu upendo ndo unasababisha ndoa idumu au isidumu.Kama upendo upo nyakati hizi kwanini ndoa hazidumu?

Mimi siamini ukosefu wa upendo ndio husababisha kutokudumu kwa ndoa. Kuna kitu kimekosekana but sikijui labda mafundisho ya ndoa hatuyapati kama zamani. Vijana wamekuwa si wavumilivu, hawataki shida, kero, kunyanyaswa, kila mmoja hajui wajibu wake si mume wala mke, moja wanalojua ni tendo la ndoa tu, mengine yameachwa. Zamani baba alikuwa anawajibu wa kuitunza familia, mama alikuwa wa nyumbani tu. Sasa baba anataka wasaidiane na ndo sababu unalalamika huna pesa hupendwi. Honestly kaulize ndoa zilizovunjika hawakupendana? watakwambia bado nampenda sana tu. na kuna wengine utaona wanaendelea kuzaa huku wakiwa wametengana. I have mjomba angu ndoa yake ilivunjika wamekuwa na mahusiano bado na wamezaa mtoto na kila siku utasikia wapo wote but mind you huyu mjomba ana mke mwingine. Nipo nashangaa tu sina jibu. Kuna mambo mengi sana ya kuvunjika ndoa si ukosefu wa upendo.
 
Mi nadhani jaribu kuangalia wa jamii inyokuzunguka wewe mwenyewe.Unapokwenda kwenye jamii kama hiyo ya walioajiriwa tena wana vyeo vikubwa tayari wanataka watu watakaoendelea nao kimaisha vizuri na si kuanza kuwaza pa kupata pesa
 
Hakuna raha katika mahusiano kama kuanza na mtu akiwa hana kitu alafu mkatafuta pamoja.

Cha msingi mmependana .. Elimu siku hizi zipo mpaka za watu wazima lolz, evening class za kumwaga n.k

Pesa mtatafuta pamoja.. Haya mambo ya kutaka kua na mtu sijui ana ma range, sijui apartment, mahela na upuuzi mwingine ni kujitafutia mabalaaa tu.. Tatizo huwaga hawasemi yakiwakuta.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Heshima, uvumilivu, upendo, kumjali mwenzio etc..........ndo mpango mzima.
 

Nakubaliana na wewe na ninaomba kuongezea.

Kwa wale ambao mapenzi yalianzia mashuleni, issue ni tofauti kwani hata kama wakati huo mwanaume hana pesa lakini tayari mwanamke anakuwa ameshafanya tathmini ya maisha ya baadae na kuona mbele kuna heri.

Ukweli utabaki pale pale, hakuna mwanamke anayependa mwanaume tegemezi. Hakuna mwanamke aliyeko tayari kuhusiana na mwanaume wa hali ya chini yake.
 
Tunasaidiana. Hivi utajisikiaje mpenzio ndo akiwa anaprovide mahitaji? uanaume wako hapa utakuwa wapi? nonino?

Wewe ni kichwa cha familia bana hata bibilia inasema unatakiwa uwe juu kwa kila kitu for safe side.

Remmy kwanin ucnyamaze tu kuliko kuchangia ujinga ujinga huo,hvi wewe kweli mpaka mwanaume akupendezeshe?,
 


Ndio ilivo, mwanaume utatafuta kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu, kazi kubwa ya mwanamke ni kuzaa, na ukweli kwa kazi hiyo pekee mwanamke alitakiwa awe ni wa kula kuku tu mpaka anakufa, usifanye mchezo na uzazi! sasa wewe kama huwezi provide kila kitu kwa mkeo! Kabebe vyuma upate mwili ili uje ule vya dezo dezo.....(Ingawa inauma lakini ndo ukweli)
 
mmmh! We mtoto unamajibu mazuri hebu ni PM
 
mwanaume ukiwa umemzidi anakuwa hajiamini anaona kama unamdharau so kila siku mtagombana
so bora alonizidi ili tuheshimiane,
 
Shost hapa umemaliza kila kitu, hakuna muongozo wala swali la nyongeza, habari ndo hii

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…