Wanawake wanaongoza kwa usaliti?

Wanawake wanaongoza kwa usaliti?

Makoja

Member
Joined
Mar 21, 2018
Posts
33
Reaction score
76
Nimekuwa kwenye wakati mgum sana wa kufanya tafiti zangu binafsi kwa muda mrefu sasa kuhusu kujua ni watu wa aina zipi wanaongoza kwa usaliti katika ndoa zao kati ya Mwanamke (mama wa nyumba) na mwanamke (Mwajiliwa ) binafsi japo utafiti wangu kwako unaweza ukawa hauna mashiko, Lkn Wanawake walio ajiliwa wanaongoza kwa usaliti japo Sio kwamba na wale Mama wa nyumbani kwamba hawachepuki nao wanachepuka lkn si kwa kiwango kama Hawa Wafanyakazi na Wafanyabiashara wanao Fata Mizigo nje na maeneo yao kwa maana ya kusafiri Bila kuwasahau wale ambao Wamezaa na wapenzi wao wa Zamani na kuolewa na watu wengine kwa tafiti zangu Hao nao penzi huwa halifi kwa wazazi wenzao Labda sijui kuwe na shida gani kumnyima papuchi mwenzi wake.
 
hahahaaaaa! Makoja but hongera kwa utafiti wako, siwezi kukupinga coz huo ni uhalisia uliopo kwenye maisha ya wanadam baadhi
na kwa swala la mke kujenga mazoea na mzazi mwenzake kweli kwa sisi wanaume huwa linatupain sana, ila jambo njema hapa na la busara ni kuzungumza vyema na mkeo kwa habari ya mtoto na baba yake mzazi kama endapo atahitaji kumhudumia mwanae ni vyema baba wa mtoto apewe sheria na taratibu za kuja kumtembelea mwanae,

au kama pia wewe kijana wa kiume ukiona ni vigumu acha kabisa kuanzisha mahusiano na binti ambaye unafahamu ashawahi kuwa mke wa mtu na mtoto anae tiyari
 
Hivi huwa wanacheat na nani!! Mie najua wanaume ni wachache kuliko wanaume!!
sakayo bana..si na haohao wanaume wachache..mwanaume mmoja kapanga na wake za watu kama 10 hivi
 
Nimekuwa kwenye wakati mgum sana wa kufanya tafiti zangu binafsi kwa muda mrefu sasa kuhusu kujua ni watu wa aina zipi wanaongoza kwa usaliti katika ndoa zao kati ya Mwanamke (mama wa nyumba) na mwanamke (Mwajiliwa ) binafsi japo utafiti wangu kwako unaweza ukawa hauna mashiko, Lkn Wanawake walio ajiliwa wanaongoza kwa usaliti japo Sio kwamba na wale Mama wa nyumbani kwamba hawachepuki nao wanachepuka lkn si kwa kiwango kama Hawa Wafanyakazi na Wafanyabiashara wanao Fata Mizigo nje na maeneo yao kwa maana ya kusafiri Bila kuwasahau wale ambao Wamezaa na wapenzi wao wa Zamani na kuolewa na watu wengine kwa tafiti zangu Hao nao penzi huwa halifi kwa wazazi wenzao Labda sijui kuwe na shida gani kumnyima papuchi mwenzi wake.
Hizi tafiti zisizo rasmi za kila kunapokucha zinachosha sana..... Khhaaa!!!!
 
ukitombewa na tafuta dhaifu zaidi umtombee tu huwezi juta na kujua msaliti nani
 
Back
Top Bottom