PRJ2012
Member
- Oct 10, 2019
- 30
- 25
Baada ya break up, mwanamke akianzisha mahusiano soon after anaonekana hajatulia na jamii inayomzunguka inamchukulia vibaya. Lakini mwanaume anapofanya the same thing, jamii hiyo hiyo inaona ni sawa tu na wengine hata husifia 'speed' yake ya kumove on. Hii ni haki kweli wadau?

