wanawake wanao'olewa na bikra asilimia kubwa wanakua wanatumia sana M kwakua wanahofia kudhalilisha familia zao hivyo wanaamua wazitunze na kujiamulia kutumia sehem ambazo ata MUNGU amezikataa,
kipi bora ni kuitinza bikra walimwengu wakuone ulikua mtiifu ( yani uwe mwema kwa binadam na udharau AMRI ZA MUNGU) au umtii MUNGU watu wakujudge wawezavyo???
kipi bora ni kuitinza bikra walimwengu wakuone ulikua mtiifu ( yani uwe mwema kwa binadam na udharau AMRI ZA MUNGU) au umtii MUNGU watu wakujudge wawezavyo???