Pole mwenzangu ebu badilikaaa! labda unasura ya ukali kila mara kama mwanajeshi akaa!!! ebu weka picha yako kwaza halafu ntakwambia wapi unakosea mana haiwi wasicha kukuona kituko,na weye ukikasirika mtu ka mie nafa kabla hujanisogelea kwa uwoga.
Tatizo lako ni kuwa unatabasamu pale unapojitazama kwenye kioo tuWandugu
Yameongelewa mengi sana hapa.....
mengi yamenifurahisha sana na nimejikuta nacheka tu kila nikivuta huu uzi...
kuna some points za msingi nimezi note down,i will work on them...
AHsanteni sana....
I promise u all to bring about the feedback after 6 months hivi...
THANKS SANA!!!
The Magnificient.....
Wandugu,
Mwanzoni wakati nikiwa sekondari(o levo) ndo tatizo lilipoanza......wanaogopa sana mazoea na mimi...sikujali sana make sikuichukulia serious.......
Nikaja advance,bahati nzuri nilisoma boys....moja maarufu iliyopo mkoani iringa,kulikuwa na mtindo wa kuwaleta watoto wa kike kucheza disco siku za graduation.....pale washkaj wakawa wanapata videmu na kuni introduce....cha kushangaza after a period of tyme....naambiwa....ooya...shemej yako anasema anatamani akuzoee lakini anakuogopa.hata yeye anasema hajui ni kwa nini......(hapo hata mimi nina mpenzi,ambaye nae pia anawaambia washkaj kwamba ananiogopa ogopa hivi........
Nilipofika university ndo balaa sasa,madada hawana mazoea kabisa na mimi....nilipojaribu kupeleleza,nikaamiwa wanasema huzoeleki kaka!!!
Huwa hainiumizi hata kidogo wakuu,,,.....lakini nikipiga picha maisha yanayokuja ni kuishi na majirani....hawa viumbe sijui wanachoniogopea ni kitu gani......sometimes inaumiza kichwa kidogo lakini......
Naogapa hata kuintroduce kabila langu kwa washkaj....make nahisi wakijua ndo hata salam sitopata tena jamani
NB:Sina sura ya kutisha,nipo fresh tu na hata kumpata mwanadada kwangu sio taabu hata kidogo....
Kama kuna wataalamu wa hii mambo....
naomba anishauri kwa kina ili niishi kwa amani huku chini ya jua.....kuzoeana na hawa watu kuna umuhimu wake mjue...
thanks wakuu........
Nawasilisha kwa majadiliano na ushauri!!
The Magnificient..
Ha ha ha haaa! Veeeery funny!...!MKURYA AKIWA ANATONGOZA:-
Umeorewa au bado unapigapiga umaraya?
basi utakuwa na kikwapaNipo smart sana mkuu,sijisifu.... sijawahi hata kuambiwa nanuk kinywa.....(hata kusikia tetesi tu)
kwa hilo mkuu,ondoa shaka..
Ila nimekukubali,wewe ni great thinker!!
Uko siriasi sana ndo mana jaribu kuwa mcheshi kidogo
Ndugu yangu labda wewe ni wale wanaojifanya wasela mavi,hivyo warembo wengi hawawezi kukuzoea,jiangalie.
Hebu tuambie unafahamu chombo cha kusafishia kinywa kiitwacho mswaki? Je unaahusiano gani na chombo hicho?
You just need to provoke and practice some sense of humour...you will come and tell us what this can do in the matters of the hearts!Wandugu,
Mwanzoni wakati nikiwa sekondari(o levo) ndo tatizo lilipoanza......wanaogopa sana mazoea na mimi...sikujali sana make sikuichukulia serious.......
Nikaja advance,bahati nzuri nilisoma boys....moja maarufu iliyopo mkoani iringa,kulikuwa na mtindo wa kuwaleta watoto wa kike kucheza disco siku za graduation.....pale washkaj wakawa wanapata videmu na kuni introduce....cha kushangaza after a period of tyme....naambiwa....ooya...shemej yako anasema anatamani akuzoee lakini anakuogopa.hata yeye anasema hajui ni kwa nini......(hapo hata mimi nina mpenzi,ambaye nae pia anawaambia washkaj kwamba ananiogopa ogopa hivi........
Nilipofika university ndo balaa sasa,madada hawana mazoea kabisa na mimi....nilipojaribu kupeleleza,nikaamiwa wanasema huzoeleki kaka!!!
Huwa hainiumizi hata kidogo wakuu,,,.....lakini nikipiga picha maisha yanayokuja ni kuishi na majirani....hawa viumbe sijui wanachoniogopea ni kitu gani......sometimes inaumiza kichwa kidogo lakini......
Naogapa hata kuintroduce kabila langu kwa washkaj....make nahisi wakijua ndo hata salam sitopata tena jamani
NB:Sina sura ya kutisha,nipo fresh tu na hata kumpata mwanadada kwangu sio taabu hata kidogo....
Kama kuna wataalamu wa hii mambo....
naomba anishauri kwa kina ili niishi kwa amani huku chini ya jua.....kuzoeana na hawa watu kuna umuhimu wake mjue...
thanks wakuu........
Nawasilisha kwa majadiliano na ushauri!!
The Magnificient..