dagaa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 290
- 382
Leo nimeamini ule usemi wa mume si ndungu yako bali mnasaidiana maisha, kosa langu nilijisahau sana nikawa muwazi kwa kila kitu kuanzia biashara mpaka msahahara wangu.
Kumbe kuna vitu vingine inabidi nifanye mwenyewe make si kwa vituko ivi. Asante baba sijafa wanawake wenzangu mlioko ndani ya ndoa mnanilionaje ili manayake hawa viumbe kama vinyonga.
Kumbe kuna vitu vingine inabidi nifanye mwenyewe make si kwa vituko ivi. Asante baba sijafa wanawake wenzangu mlioko ndani ya ndoa mnanilionaje ili manayake hawa viumbe kama vinyonga.