Wanawake waliondani ya ndoa na staili Mpya!!!!

Wanawake waliondani ya ndoa na staili Mpya!!!!

jamalom

Member
Joined
Nov 22, 2013
Posts
10
Reaction score
2
Habari ya mjini ni kwamba wanawake waliondani ya ndoa tena watumishi walioajiriwa!!! wana staili mpya sasa hivi, Mwanamke anakuwa anamiliki simu ambayo mume wake haijui, Na hiyo simu anakuwa anahiacha kwenye Droo ya meza ya ofisi, akifika ofisini anaanza kuchat na mahawala zake! Anafanya upuuzi anaojua!! Akirudi nyumbani cmu anaiacha ofisini. Jamani wanaume tufanyaje? kumaliza hili tatizo.
 
Usipate presha. Nawe nunua yako kufurahisha nafsi yako. Perios
 
Habari ya mjini ni kwamba wanawake waliondani ya ndoa tena watumishi walioajiriwa!!! wana staili mpya sasa hivi, Mwanamke anakuwa anamiliki simu ambayo mume wake haijui, Na hiyo simu anakuwa anahiacha kwenye Droo ya meza ya ofisi, akifika ofisini anaanza kuchat na mahawala zake! Anafanya upuuzi anaojua!! Akirudi nyumbani cmu anaiacha ofisini. Jamani wanaume tufanyaje? kumaliza hili tatizo.

Mbona hizo ni style za wanaume? Tena mm nimewasikia wengi mnoo!
 
Duuu japo xo mwanandoa maana ya ndoa hapo ni nn? Cheating mpak lin bt mhhhh ngoja niwaachie wenyew
 
mbona hii tokea kitambo tu mkuu,.

Wewe ndiyo umejua leo??
 
Tatizo liko wapi hapo. Kwani kuchat tu kuna tatizo gani. Si bora hata huyo anayechat mchana na kuacha simu huko huko. Ukipata wa hivyo shukuru mungu. Je ukipata yule anayechat hadi usiku wa manane je.
 
^^
Kwani wanaume hawana? Anachart na nani?
Bora huyo Kuna wengine dharau tupu laini moja,simu moja,kazi kuchart usiku mzima... Mguse uone (dont touch me disease) yuko bize
Anatafuta notisi za unyumba.
^^
 
Aiseee.......... Waachisheni kazi wakae nyumbani.......
 
^^
Kwani wanaume hawana? Anachart na nani?
Bora huyo Kuna wengine dharau tupu laini moja,simu moja,kazi kuchart usiku mzima... Mguse uone (dont touch me disease) yuko bize
Anatafuta notisi za unyumba.
^^

huyo wa kwako kazidi....... Haikubaliki! Hajui cheating responsibly
 
Huyo mwanamke anakosa nini kwako hadi ahangaike huko nje??
 
Habari ya mjini ni kwamba wanawake waliondani ya ndoa tena watumishi walioajiriwa!!! wana staili mpya sasa hivi, Mwanamke anakuwa anamiliki simu ambayo mume wake haijui, Na hiyo simu anakuwa anahiacha kwenye Droo ya meza ya ofisi, akifika ofisini anaanza kuchat na mahawala zake! Anafanya upuuzi anaojua!! Akirudi nyumbani cmu anaiacha ofisini. Jamani wanaume tufanyaje? kumaliza hili tatizo.

achana kwanza na mahawara zako!
 
mbona hiyo ni kawaida.....tena tunatumia nokia tochi.........ndio hakana mbwembwe.........
 
kwako kuchart si utoto!! Wivu wa nin sasa?
 
Back
Top Bottom