Kipipi, mkifikia hitimisho utaniita. Naenda mudio saa hii...
warombo wapole sana,kibosho wezi wanawaibia waume zao na kujenga kwao,marangu kutembea nje ya ndoa nikitu cha kawaida sana,uru washamba sana,old moshi kama wamarangu,kwanini wasisemwe warombo,kibosho,uru,marangu,oldmoshi?
warombo wapole sana,kibosho wezi wanawaibia waume zao na kujenga kwao,marangu kutembea nje ya ndoa nikitu cha kawaida sana,uru washamba sana,old moshi kama wamarangu,
Mtasema sana mkichoka mtalala ndio kwanza tunakimbiliwa,proudly machame lady no regrets,unajua kuua kila m2 anaweza ila mpaka awe amesukumwa umbali huo,endeleeni kutupaiza halafu love is blind na ukipenda hata ufanywaje hutoki kwa hyo acha kupoteza muda m2 ukimpenda sidhani kama hata akikuambia nauaga utakimbia,
Hii kitu ni kweli, baba mdogo alioa mmoja, daily ni bif hapo ndani, kila siku mama mkwe anaamua ugomvi,one day ugomvi ulizuka asubu, huyu mmachame alikuwa anakaanga maandazi yake akanyanyua karai zima zima akamwagia mama mkwe, bahati bibi aliweza kuikwepa hii kiasi kidogo kikamwagikia mguuni, ba mdogo kuingilia kati, mmachame akatoka na panga, ilibidi ba mdogo akimbie, mi nilikuwa nimesimama kwa mbali, ktk kufukuzana ba mdogo alipita karibu yangu mmachame naye alipita hapo akanigonga nikaanguka chini nikaumia bega, nilikuwa darasa la tano, kufika mbele ba mdogo alijikwa akaanguka huku mmachame anamfukuzia kwa spidi kaka naye alikuwa nyuma, wakati mmachame anataka kushusha panga juu ya uso wa ba mdogo pale chini kaka aliwahi na kuweka mgongo, panga likatua maeneo ya kuanzia kisogoni hadi mgongoni, bahati nzuri ni kuwa yule mama alishusha panga upande usiokata maana wakati ananyanyua panga hakuangalia ni upande upi wenye makali, hata hvyo broaliumia sana kisogoni na alipasuka japo hakupata effects ndani. Toka siku hiyo niliapa mmachame kwangu no, hata mtaani kwetu kwa lile tukio hakuna mzazi anayekubali mwanae aoe mmachame.yaani huyo mama alitengeneza image mbaya sana kwa wamachame na mpaka sasa wanawaogopa.
SULUHISHO: wewe unayewasimanga wamachame pleas NENDA KAOE KABILA LAKO NA Ni MARUFUKU kuanzia
LEO KUWATONGOZA WAMACHAME
NY*** mbafu xxxxxxooo , we are stars ndio maana tunasemwa sana.
Hawafai kuolewa kabisa ni vimeo vya hatari, mvuto wenyewe wa kuungaunga wanawaza hela tu.
warombo wapole sana,kibosho wezi wanawaibia waume zao na kujenga kwao,marangu kutembea nje ya ndoa nikitu cha kawaida sana,uru washamba sana,old moshi kama wamarangu,
Kipipi, mkifikia hitimisho utaniita. Naenda mudio saa hii...
Hii kitu ni kweli, baba mdogo alioa mmoja, daily ni bif hapo ndani, kila siku mama mkwe anaamua ugomvi,one day ugomvi ulizuka asubu, huyu mmachame alikuwa anakaanga maandazi yake akanyanyua karai zima zima akamwagia mama mkwe, bahati bibi aliweza kuikwepa hii kiasi kidogo kikamwagikia mguuni, ba mdogo kuingilia kati, mmachame akatoka na panga, ilibidi ba mdogo akimbie, mi nilikuwa nimesimama kwa mbali, ktk kufukuzana ba mdogo alipita karibu yangu mmachame naye alipita hapo akanigonga nikaanguka chini nikaumia bega, nilikuwa darasa la tano, kufika mbele ba mdogo alijikwa akaanguka huku mmachame anamfukuzia kwa spidi kaka naye alikuwa nyuma, wakati mmachame anataka kushusha panga juu ya uso wa ba mdogo pale chini kaka aliwahi na kuweka mgongo, panga likatua maeneo ya kuanzia kisogoni hadi mgongoni, bahati nzuri ni kuwa yule mama alishusha panga upande usiokata maana wakati ananyanyua panga hakuangalia ni upande upi wenye makali, hata hvyo broaliumia sana kisogoni na alipasuka japo hakupata effects ndani. Toka siku hiyo niliapa mmachame kwangu no, hata mtaani kwetu kwa lile tukio hakuna mzazi anayekubali mwanae aoe mmachame.yaani huyo mama alitengeneza image mbaya sana kwa wamachame na mpaka sasa wanawaogopa.
Kumbe bora wamakonde ambao unaoa mmoja lakini wanahamia kwako ukoo mzima halafu unawasahau familia yenu!![/QUOTE ., UHAI KWANZA!