Wanawake wa staili hii, wanakera mno

wote chenga ur after her papuch she is after ur visenti ila kinachokuuma kakuzid akili kakulia af ujamla ndo maana umepanick maana ungempenda kweli ucngekua hapa alaf unaonekana una pupa sana hata hao other fish in the ocean utaishia kuwatazama huwavui ng'odo..wanaume wa ajabu jamani khaaa!
 
wote chenga ur after her papuch she is after ur visenti ila kinachokuuma kakuzid akili kakulia af ujamla ndo maana umepanick maana ungempenda kweli ucngekua hapa alaf unaonekana una pupa sana hata hao other fish in the ocean utaishia kuwatazama huwavui ng'odo..wanaume wa ajabu jamani khaaa!

Mi sipo hivyoo, sikuwaza kutafuna afu nikimbie
UDHAIFU WANGU NI KUWA NIKIMPENDA MWANAMKE HUWA NAPENDA KWELI!

MASKINI MIMI! udhaifu wangu huu husababisha nipewe za mbavu!

Lakini sasa namshukuru mungu baada ya kusoma coments za wakuu humu MMU, nimepata nguvu na nimeweza kumpotezea, namba zake zote nimedelete, na sasa naanza maisha mapya.

Ninaimani kuwa ntapata chombo kingine, ambaye hatokuwa na tabia kama hizi!
 
Kwani mwanamke akikupa ndo anakupenda?vuta subira kijana mambo mazuri hayataki haraka tatizo lenu nyie tukishawapa papuchi dharau zinaanza na muda mwingne mnakimbia kabisa ,siku zote mwanaume unayempenda usimpe papuchi mpk ndoa akivumilia huyo ndo Mr.right uliyekuwa unamsubiri

Ni kweli wakiwahi kupewa wanaanza dharau na kukimbiaaa. Dawa ni kumwambia atoe posa na mahari ajulikane rasmi kwa wazazi kuwa ni mchumba, ndio malavi davi yatafuata.
 
Mwanamke nimemtongoza kanikubalia, nikamuomba mzigo kanibania, alafu muda mwingi anaokutana na mimi anakifanya ana haraka muda mwingi utamsikia akisema 'nataka kuondoka lakini nina haraka' as if mmekutana bahati mbaya.

Basi unapozidi kumbembeleza, we unaongea naye ye yuko busy anachat kwa text na watu wengine na ninapojitahdi kutaka kugundua anachat na nani, ndivyo simu yake anaiweka mbali na upeo wa macho yangu.

Mara nyingi mimi ndo wa kwanza kumshtua kene simu kila siku, nisipofanya hivo siku inapita na ninapomuulza kama ananipenda anajibu ananipenda. Naomba mnisaidie huyu binti ananipenda kweli? Au yupo kimaslah zaidi?

Ushauri kwa mabinti kama mwanaume huwezi kumpwenda au haujakidhi vigezo vyako, mtose siku ileile ya kwanza sio kukubal ninafikiria.




Pole jibaba.mimi sijui nikoje? Sipendi kumuuliza kichuna wangu kama ananipenda,asiponionyesha, nafanya maamuzi ya kumpotezea kwa amani tu.life goes on.
 
Back
Top Bottom